jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
- Thread starter
- #41
Jambo la kisayansi linapingwa kwa ufatiti wa kisayansi sio sweeping statements zisizo za kitaalamu.Ushauri wako ungebeba uzito kwa kuweka figures kuonyesha wangapi walitumia dawa za kuzuia mimba wakiwa vijana na kupata matatizo ya uzazi baadaye.
Bila hivyo ni assumptions tu.
Tafiti ziko nyingi sana na zimeweka bayana.