jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
- Thread starter
-
- #41
Jambo la kisayansi linapingwa kwa ufatiti wa kisayansi sio sweeping statements zisizo za kitaalamu.Ushauri wako ungebeba uzito kwa kuweka figures kuonyesha wangapi walitumia dawa za kuzuia mimba wakiwa vijana na kupata matatizo ya uzazi baadaye.
Bila hivyo ni assumptions tu.
Ukute binti ni mfupi, kibonge halafu alikuwa anatumia haya makitu. Unaweza hisi amelogwa na kufungwa kizazi.
Sawa, tusipozaana tukafutika wote tutapata hasara gani?Kuzaana ni wajibu wa kiasili.
aaah!!! maana yake akishakuja kutoa hiko kijiti kwa baadae ndyo ataanza kuvuruga period haitoeleweka kabsa..? mkuu naomba nieleweshe maana nmeshauriana na mtu wangu nataka akaweke kijiti maan ndo naona kama njia rahisi kidg ushaur wako
Wazazi,walezi tuwakumbushe binti zetu jambo hili.
Kwa sasa ndoa nyingi sana zinapitia changamoto ya uzazi,hii ni kutokana mabinti wengi walitumia njia za uzazi wa mpango ama p2 kwa muda mrefu kipindi cha ujana.
Hii imepelekea mvurugikano wa homoni za kuchochea uzazi,kupatwa na magonjwa kama fibroids,kansa za kizazi,mvurugiko wa homoni n.k
Ewe kijana kama unatafuta mke wa kuoa na kukuletea familia epuka wanawake waliowahi kutumia madawa ya uzazi wa mpango hakika utateseka kupata uzao.
Enyi mabinti chondechode msitumie hayo madawa kama unalengo la kuwa na familia badae.
Wanawake wanene kupitiliza nao wana changamoto kubwa za uzazi.
Msije sema sikuwaambia.
Muwe na Jpl njema.
aaah kabsa mkuu ngja nimshaur aachane nayo tu tutumie kondomu kama n hvMadhara ni makubwa,atapata mvurugiko wa hedhi,damu kutoka mfurulizo ama kutokutoa kabisa,damu kutoka na mabongebonge,na mwisho wa siku itachukua muda kukaa sawa ama asikae sawa kabisa