Ewe DOLA, ikikupendeza 2025, Tuleteeni Luhaga Mpina

Ewe DOLA, ikikupendeza 2025, Tuleteeni Luhaga Mpina

Kuna Chemistry hapa naiota Kila kukicha

Nikweli ni kijana, ila Uongozi ni AKILI , huyu mtu kawekeza sana Muda wake, Akili yake, Kwa masuala mapana yenye masilahi na Nchi .

Ewe DOLA, inawezekana Kuna walamba Asali wamejipenyeza mpaka huko ndani.

Ila DOLA, Kwa kunionea huruma tu Nchi hii, na Watanzania wake , Tuleteeni watu jamani.

Kilo ya maharage 4000!!

Ewe Dolla, tunagawiwa mitungi ya gesi buree lkn Kuijaza Gesi Hiyo ni shughuli na familia yenyewe Ina watu 10!!

Ewe DOLA, tunapigwa za usoni na changalamacho mchana kweupeeeee.

Ewee DOLA, tusiongozwe Sababu ni jinsia ya Kike !!. Uongozi sio jinsia !!.

Ikiwapendeza Ewe DOLA, ninaamini 100% CCM inawategemea, Wala Nyinyi hamuwategemei Kwan Nyinyi ndio mliosimama juu ya vilindi vinne vya Nchi hii!!

Ombi langu kwenu DOLA, 2025, fanyeni jambo, watu washangae .

Mpina
Gwajima
Majaliwa

Hawa watu hawaaa ni Magufuli yuleyule ,Hawa watu ndio Wanaweza kutufikisha Nchi ya Ahadi !!

Gwaji labda atawale kwako.
 
Hii nchi mumeidharau sana. Yaani ametoka kichaa mwaka 2021 na mnataka kuleta kichaa mwingine kutoka Kolomije??

Hilo haliwezekani, na hata wana Kisesa hawatampa kura mtu aliyekuwa anawachomea nyavu na kupima urefu wa samaki. Luhaga Mpina afe tu ili akaungane na kichaa mwenzie Magufuli huko kuzimu
Umesema kweli tupu!
 
Hii nchi mumeidharau sana. Yaani ametoka kichaa mwaka 2021 na mnataka kuleta kichaa mwingine kutoka Kolomije??

Hilo haliwezekani, na hata wana Kisesa hawatampa kura mtu aliyekuwa anawachomea nyavu na kupima urefu wa samaki. Luhaga Mpina afe tu ili akaungane na kichaa mwenzie Magufuli huko kuzimu
Huyu mbona anakuwa dhaifu? Si aige akina Angela Makel!
 
M
Kuna Chemistry hapa naiota Kila kukicha

Nikweli ni kijana, ila Uongozi ni AKILI , huyu mtu kawekeza sana Muda wake, Akili yake, Kwa masuala mapana yenye masilahi na Nchi .

Ewe DOLA, inawezekana Kuna walamba Asali wamejipenyeza mpaka huko ndani.

Ila DOLA, Kwa kunionea huruma tu Nchi hii, na Watanzania wake , Tuleteeni watu jamani.

Kilo ya maharage 4000!!

Ewe Dolla, tunagawiwa mitungi ya gesi buree lkn Kuijaza Gesi Hiyo ni shughuli na familia yenyewe Ina watu 10!!

Ewe DOLA, tunapigwa za usoni na changalamacho mchana kweupeeeee.

Ewee DOLA, tusiongozwe Sababu ni jinsia ya Kike !!. Uongozi sio jinsia !!.

Ikiwapendeza Ewe DOLA, ninaamini 100% CCM inawategemea, Wala Nyinyi hamuwategemei Kwan Nyinyi ndio mliosimama juu ya vilindi vinne vya Nchi hii!!

Ombi langu kwenu DOLA, 2025, fanyeni jambo, watu washangae .

Mpina
Gwajima
Majaliwa

Hawa watu hawaaa ni Magufuli yuleyule ,Hawa watu ndio Wanaweza kutufikisha Nchi ya Ahadi !!


Mpina ni double standard je anaweza kuheshimu katiba ya nchi? Nadhani Mbunge Msukuma amewahi kuweka wazi mapungufu yake mengi ya Mpina,sidhani ni mtu sahihi hata kama dunia ingebakiza mtu mmoja.
 
Hii nchi mumeidharau sana. Yaani ametoka kichaa mwaka 2021 na mnataka kuleta kichaa mwingine kutoka Kolomije??

Hilo haliwezekani, na hata wana Kisesa hawatampa kura mtu aliyekuwa anawachomea nyavu na kupima urefu wa samaki. Luhaga Mpina afe tu ili akaungane na kichaa mwenzie Magufuli huko kuzimu
Hapo Ongeza Polepole ,Bashiru na Ndugai.
Hawa watu hata tukiwakataa Leo lakini maadam mwasisi wa nchi hii aliipanda Mbegu ya uzalendo na kapinga dhulma Iko siku atatokea Rais Mkorofi kuliko Sadam Huseni na wezi wote watasambaratishwa.


Mwaka 1995 Mwanza sangara walikua na ukubwa wa karibu futi nane . Sangara mmoja alikua anapakiwa kwenye Pick up na anatosheleza na kuinyanyu juu.

Mpina yupo sahihi. Hii nchi na nchi nyingine za Kiafrika haziwezi kuendelea Kwa kuongozwa kirafiki na kishkaji. Ni lazima atokee mtu mkorofi sana . Mtu anayeweza kumchapa makofi mwezi wa Mali za umma. Haiwezekani kuendelea kuwabembeleza wahuni kwenye nchi.
Nchi Ina rasilimali nyingi sana haiwezekani eti tunategemea tozo Toka Kwa maskini Kwa ajili ya kuwapa starehe watawala. Wazungu walikuja Karne ya kumi na Tisa nchi ikiwa gizani Totoro lakini wakitumia rasilimali walizozikuta na wakaijenga nchi Kwa Miaka hiyo na viwanda. Iweje Leo wasomi wapo lakini wanadhinda kwenye mabaa na starehe za Wanawake huku wakiangalia maslahi yao tuu halafu hawataki kutoka kwenye sanduku la kura.

Magufuli angefufuka Leo ( Mungu amrehemu Huko aliko ) watanzania wengi wangemchagua na asingepata mpinzani asilani.

Kosa lake lilikua ni kuwabebe sana CCM na kuwaacha Wakurugenzi kuvuruga uchaguzi mkuu . Na pia kuua upinzani lakini mambo mengine Kwa kweli Magufuli was the Best President ukilinganisha na walamba asali wengine kwenye suala la kulinda na kusimamia Rasilimali za Nchi yetu na kuwashughulikia Wezi waliojiunga na majizi ya Dunia kuangamiza nchi Kwa manufaa yao.
 
Kuna Chemistry hapa naiota Kila kukicha

Nikweli ni kijana, ila Uongozi ni AKILI , huyu mtu kawekeza sana Muda wake, Akili yake, Kwa masuala mapana yenye masilahi na Nchi .

Ewe DOLA, inawezekana Kuna walamba Asali wamejipenyeza mpaka huko ndani.

Ila DOLA, Kwa kunionea huruma tu Nchi hii, na Watanzania wake , Tuleteeni watu jamani.

Kilo ya maharage 4000!!

Ewe Dolla, tunagawiwa mitungi ya gesi buree lkn Kuijaza Gesi Hiyo ni shughuli na familia yenyewe Ina watu 10!!

Ewe DOLA, tunapigwa za usoni na changalamacho mchana kweupeeeee.

Ewee DOLA, tusiongozwe Sababu ni jinsia ya Kike !!. Uongozi sio jinsia !!.

Ikiwapendeza Ewe DOLA, ninaamini 100% CCM inawategemea, Wala Nyinyi hamuwategemei Kwan Nyinyi ndio mliosimama juu ya vilindi vinne vya Nchi hii!!

Ombi langu kwenu DOLA, 2025, fanyeni jambo, watu washangae .

Mpina
Gwajima
Majaliwa

Hawa watu hawaaa ni Magufuli yuleyule ,Hawa watu ndio Wanaweza kutufikisha Nchi ya Ahadi !!

"Wewe Mpina, ni kichaa kama mimi, nimekupeleka Wizara ya uvuvi"

Unataka kusema Tanzania inatakiwa kutawaliwa na vichaa?
 
Kuna Chemistry hapa naiota Kila kukicha

Nikweli ni kijana, ila Uongozi ni AKILI , huyu mtu kawekeza sana Muda wake, Akili yake, Kwa masuala mapana yenye masilahi na Nchi .

Ewe DOLA, inawezekana Kuna walamba Asali wamejipenyeza mpaka huko ndani.

Ila DOLA, Kwa kunionea huruma tu Nchi hii, na Watanzania wake , Tuleteeni watu jamani.

Kilo ya maharage 4000!!

Ewe Dolla, tunagawiwa mitungi ya gesi buree lkn Kuijaza Gesi Hiyo ni shughuli na familia yenyewe Ina watu 10!!

Ewe DOLA, tunapigwa za usoni na changalamacho mchana kweupeeeee.

Ewee DOLA, tusiongozwe Sababu ni jinsia ya Kike !!. Uongozi sio jinsia !!.

Ikiwapendeza Ewe DOLA, ninaamini 100% CCM inawategemea, Wala Nyinyi hamuwategemei Kwan Nyinyi ndio mliosimama juu ya vilindi vinne vya Nchi hii!!

Ombi langu kwenu DOLA, 2025, fanyeni jambo, watu washangae .

Mpina
Gwajima
Majaliwa

Hawa watu hawaaa ni Magufuli yuleyule ,Hawa watu ndio Wanaweza kutufikisha Nchi ya Ahadi !!



Toa Gwajima, weka Bashiru.
 
Kuna Chemistry hapa naiota Kila kukicha

Nikweli ni kijana, ila Uongozi ni AKILI , huyu mtu kawekeza sana Muda wake, Akili yake, Kwa masuala mapana yenye masilahi na Nchi .

Ewe DOLA, inawezekana Kuna walamba Asali wamejipenyeza mpaka huko ndani.

Ila DOLA, Kwa kunionea huruma tu Nchi hii, na Watanzania wake , Tuleteeni watu jamani.

Kilo ya maharage 4000!!

Ewe Dolla, tunagawiwa mitungi ya gesi buree lkn Kuijaza Gesi Hiyo ni shughuli na familia yenyewe Ina watu 10!!

Ewe DOLA, tunapigwa za usoni na changalamacho mchana kweupeeeee.

Ewee DOLA, tusiongozwe Sababu ni jinsia ya Kike !!. Uongozi sio jinsia !!.

Ikiwapendeza Ewe DOLA, ninaamini 100% CCM inawategemea, Wala Nyinyi hamuwategemei Kwan Nyinyi ndio mliosimama juu ya vilindi vinne vya Nchi hii!!

Ombi langu kwenu DOLA, 2025, fanyeni jambo, watu washangae .

Mpina
Gwajima
Majaliwa

Hawa watu hawaaa ni Magufuli yuleyule ,Hawa watu ndio Wanaweza kutufikisha Nchi ya Ahadi !!


Duh, Mbona mada yako umeififisha mkuu!

Kichwa cha mada hukukishughulikia ipasavyo. Ulitakiwa uweke mkazo wako hapo, lakini badala yake ukapiga chenga chenga huku goli likiwa wazi na kushindwa kufunga goli!

Kama bado hunielewi ninachoandika hapa, ... hao uliowaorodhesha hapo chini ndio akina nani hao kuhusu maswala yako uliyopiga chenga nyingi nayo?
Lakini, Hata Gwajima, ni Gwajima yupi huyo, lakini wote wawili niwafahamuo sioni sababu ya kuwaweka hapo!
 
Hii nchi mumeidharau sana. Yaani ametoka kichaa mwaka 2021 na mnataka kuleta kichaa mwingine kutoka Kolomije??

Hilo haliwezekani, na hata wana Kisesa hawatampa kura mtu aliyekuwa anawachomea nyavu na kupima urefu wa samaki. Luhaga Mpina afe tu ili akaungane na kichaa mwenzie Magufuli huko kuzimu
Kwani alianza yeye kuchoma nyavu nchini?,moja ya adhabu za uvuvi kharamu ni kuteketeza zana hizo kwa mujibu wa sheria.
Wewe unapendekeza wavuvi kharamu washugulikiwe vp wakamatwapo?
 
Sio sisi tu, Bali mwenye Sifa thabiti, uthubutu , Haki, Maono ,Mzalendo a k.a mfia Nchi ,mtu wakunitoa Muhanga kwaajili ya wengi japo atachukiwa na wahuni , Mwenye Hofu ya Mungu .
Mpina hana sifa yoyote kati ya hizo ulizozitaja
 
Back
Top Bottom