Ewe DOLA, ikikupendeza 2025, Tuleteeni Luhaga Mpina

Magufuli angefufuka Leo ( Mungu amrehemu Huko aliko )...
Huyo kichaa anaungua na moto hata Yesu Kristu atakapojuja tena kuhukumu wazima na wafu Magufuli hawezi kufufuka sawa na akina Hitler, Mobutu na Iddi Amini.

Usipoteze muda wako kuabudu kitu Mungu wetu alichokifuta. Magufuli angekuwapo tungekuwa na hali mbaya kuliko Yemen kwa sababu alikuwa hatumii akili.
 
2025 ni ngumu ila waoneni watu wamekaa kimya 2030 patachimbika hawa watu wanaojiona wa mifumo wote wanaenda kupotezwa kuna kundi kubwa lenye nguvu lina act kama halipo mpaka sasa kwangu mimi Mpina is the best kama tutataka Magulification of Tanzania ambayo watu wengi wanagugumia kimya kimya hasa wapiga kura
 
Mpina ana roho mbaya. Mwanzoni JPM alimchukulia kama kijana wake kikazi baadae hata yeye akaamua kumpotezea.
 
Umasikini wa fikra katika GPA.

Tanzania ni nchi ambayo mpaka sasa ina amini mwenye GPA kubwa ndiyo muelewa wataaluma.

Kuwa assisant lecture lazima GPA iwe zaidi ya 3.5. hi ni shida kwa nchi
 
Naunga Mkono Hoja Hii 100% kwa 100%

Ila Mpina anastahili kujiwekea ulinzi kama wa #Sonko kule #kenya.

Mpina no jabali wa kisiasa asiyeendekeza njaa kama wengineo huko CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…