Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,Ewe. jobless jobless jobless nime kuita mara tatu, Leo usipo tumia akili zako basi usije kulia lia siku ya kesho.
jobless hizi hisia za mapenzi unazo onyeshwa leo ni mtego tu ili mfuko na akiba yako ichotwe kiboya.
hivyo tuliza wenge, aki kuuliza uko wapi?, mwambia nipo nyumbani naumwa Sana.
huyo binti akija kukuona, basi ana upendo kiasi chake kwako.
Ila uki mwambia una umwa, halafu akakaa kimya, basi huyo ni chui aliye kwenye mawindo.
Ewe jobless Kama una mchumba aliye mwaminifu kwako, basi apple 1, chocolate 1 na lollypop ni zawadi fulani hivi ya kinywamwezi.
Kama ni muelewa ata appreciate, aki anza kulalamika msindikize na flying dragon kick ya dony yen au van Damme.
(Lengo ni kulinda maslahi yako).
Zingatia, siku ya valentine si tu kwa ajili ya wachumba, bali onyesha upendo kwa familia yako, na hata Jamaa zako wa muhimu. View attachment 3236260
Yule binti anakuendesha kila muda mada ni mapenzi na u-jobless .bro Wacha bhangi, kosa langu nini?
Future impossible tense 🤣😂Ma jobless nawapenda na falsafa zenu,, nunueni hata konyagi basi nigongee dada yenu.
Binti gani?, halafu Mwaka huu nazungumzia chama chetu Cha ma jobless pro max 😂Yule binti anakuendesha kila muda mada ni mapenzi na u-jobless .
nime msamehe, asi rudie siku nyingine 🤣😂Mwamba atakua anakula vinywaji changamshi tumsamehe bure😆
Kaburi la futi 12 🤣😂Mtu akikuambia uoe ni kama anakusogezea kaburi jirani.
Upwiru unakaba koo mgumu aseee sitaweza kulinga mara zaidi😂😂😂😂naam uko vyema, Linda kibunda chako, epuka ma almajiri with wigs
anyway tuta zikia wapi?Upwiru unakaba koo mgumu aseee sitaweza kulinga mara zaidi😂😂😂😂
Kuhonga siachinajua nusu albino Half american ata jifanya haoni Uzi huu, we ka honge halafu uje uni ombe ushauri nakupasua makofi!
Bro majirani zako wali ondoka na wi-fi Yao nini 🤣😂.Kuhonga siachi
Nilikua maeneo fulani hivi huwa sitakagi mambo mengiBro majirani zako wali ondoka na wi-fi Yao nini 🤣😂.
Maana Ume potea sana
Naelewa ni Kama Mimi, kuanzia saa 3 nili kuwa ndani nacheza ps tu.Nilikua maeneo fulani hivi huwa sitakagi mambo mengi
Wakishua utawajua tu na ma ps yao kwassiNaelewa ni Kama Mimi, kuanzia saa 3 nili kuwa ndani nacheza ps tu.
Wacha bhangi nusu albino, ps 4 si ni hela mnazo honga mademu?.Wakishua utawajua tu na ma ps yao kwassi