Ewe jobless wakikuchokoza usipigane, huo ni mtego

Sema mkuu kwetu napachukia sana yan ukute binti mnaling'ana labda unamzd 1-5 hizo dharau utakazo Kula mwanangu you will never believe plus ujobless wangu mpaka kuna mda degree yangu naificha mzee nafs ya camfluge kulingana na mazingira
 
Mtafanikiwa tu wakuu . Nilikuwa nashinda na majobless wenzangu ule uzi wa jukwaa la ajira

Mwaka 2021 interview ikatiki



Kila mtu na wakati wake ....usimuonee mtu wivu au kwa nini fulani kapata mimi nimekosa ..


Wakati tu hujafika
Sahihi kabsa
 
we si bora uli panga, watu tuli lala vibarazani mzee.

kuja kulala kitandani nika ona Kama luxury fulani 😁😂
Mzee baba🤣acha upumbafu hapa hatushindani kutambiana shida tulizopitia kimsingi ni kuwekana Sawa namna ya kupiga hatua Mgeni wa Jiji ameongea jambo la msingi sana kutoka maghetoni muhimu sana kutest walahu chungu tamu za sehemu nyingine
 
Mh. Rais,
Kuna moja umesahau hapo:-
WASITONGOZE,
maana watakamuliwa mpunga ambao hawana!

Wawe wanachama waaminifu wa Chaputa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…