Ewe kijana, Jenga ustaarabu na mahusiano mazuri na jamii.

Ewe kijana, Jenga ustaarabu na mahusiano mazuri na jamii.

Naomba nikazie hapo kwenye namba 1 Hilo lipo sana Tena sana darslam wanaume wanavaa boxer wanatembea barabaran au unakuta mtu kapak gar yake safi akishuka yeye kavaa kabukta boxer

Mbona huku nilipo sijawah ona hizi mambo au wenzetu uzungu mwing
 
Wa
Naomba nikazie hapo kwenye namba 1 Hilo lipo sana Tena sana darslam wanaume wanavaa boxer wanatembea barabaran au unakuta mtu kapak gar yake safi akishuka yeye kavaa kabukta boxer

Mbona huku nilipo sijawah ona hizi mambo au wenzetu uzungu mwing
Tena muingine utakuta kaongozana na familia yake,mke na watoto
 
Ukosefu wa maadili watoto nao wanakuja kuiga upuuz wa baba
Kwaal asilimia nyingi watoto huiga tabia kutoka Kwa wazazi.

Kama ni mtu wa ibada ,watoto watakuwa hivyo,

Kama ni mtu wa dili chafu tegemea kuacha mbegu hiyo,

Hata kitendo cha kuonekana na mwanamke mwingine zaidi ya mama yao, tegemea baadhi ya watoto kukopi vitu vyako.

Ni kama utajiri tu,mbinu zilezile lazima watoto wafuate nyayo
 
Vijana pia tuwe humble mno..
Humbleness is pretending

Kama kijana kuwa na nidhamu Katika maisha yako.

Usijiingize katika mahusiano ambayo hayana faida kwako be mutually acha mazoea ya wanawake.

Achana na vijana wenye slogan za kipumbavu kama vile
""Tafuta pesa "".

Sikwambii usiwe na marafiki ila unapokua kijiweni acha kuchangia mada za ajabu ajabu ikiwemo kuongelea wanawake na mahusiano.

Linda sana afya yako maana kut mbea na wanawake wengi sio sifa na hakuna tuzo.

All in all kuwa na nidhamu
Nidhamu ni neno pana ila kuwa na nidhamu kwa kila kitu kwani nidhamu itakufundisha hekima...

Na kama ni kijana na jf hapa kaa mbali na makundi ya watu kama Vishu Mtata 😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
 
Vijana pia tuwe humble mno..
Humbleness is pretending

Kama kijana kuwa na nidhamu Katika maisha yako.

Usijiingize katika mahusiano ambayo hayana faida kwako be mutually acha mazoea ya wanawake.

Achana na vijana wenye slogan za kipumbavu kama vile
""Tafuta pesa "".

Sikwambii usiwe na marafiki ila unapokua kijiweni acha kuchangia mada za ajabu ajabu ikiwemo kuongelea wanawake na mahusiano.

Linda sana afya yako maana kut mbea na wanawake wengi sio sifa na hakuna tuzo.

All in all kuwa na nidhamu
Nidhamu ni neno pana ila kuwa na nidhamu kwa kila kitu kwani nidhamu itakufundisha hekima...

Na kama ni kijana na jf hapa kaa mbali na makundi ya watu kama Vishu Mtata 😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
Safi Sana mkuu,lakini why ukajiita Poor Brain
 
Vijana pia tuwe humble mno..
Humbleness is pretending

Kama kijana kuwa na nidhamu Katika maisha yako.

Usijiingize katika mahusiano ambayo hayana faida kwako be mutually acha mazoea ya wanawake.

Achana na vijana wenye slogan za kipumbavu kama vile
""Tafuta pesa "".

Sikwambii usiwe na marafiki ila unapokua kijiweni acha kuchangia mada za ajabu ajabu ikiwemo kuongelea wanawake na mahusiano.

Linda sana afya yako maana kut mbea na wanawake wengi sio sifa na hakuna tuzo.

All in all kuwa na nidhamu
Nidhamu ni neno pana ila kuwa na nidhamu kwa kila kitu kwani nidhamu itakufundisha hekima...

Na kama ni kijana na jf hapa kaa mbali na makundi ya watu kama Vishu Mtata 😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
Mi nauchukia msemo "tafuta pesa" sijui kwa nini mkuu duh.
 
Kwaal asilimia nyingi watoto huiga tabia kutoka Kwa wazazi.

Kama ni mtu wa ibada ,watoto watakuwa hivyo,

Kama ni mtu wa dili chafu tegemea kuacha mbegu hiyo,

Hata kitendo cha kuonekana na mwanamke mwingine zaidi ya mama yao, tegemea baadhi ya watoto kukopi vitu vyako.

Ni kama utajiri tu,mbinu zilezile lazima watoto wafuate nyayo
Hakika
 
Na wengi wanaosema hyo ukifatilia sana ni walimbukeni mkuu..

Seriously naonaga mtu mshamba sana anavokua anaongea msemo huo.

Yaani huu ni ushamba sana
Kabisa hawa wameharibu sana hiki kizazi ,vijana nao kwakujikuta wamechelewa kimbilio lao ni kamari. yaani uweke 1000 yako kesho uamke na million,sisemi haiwezekani,

Ila ni Kwa wachache mno huku wengine wakizidi kupotea na kupoteza zaidi
 
Back
Top Bottom