Ewe kijana, Jenga ustaarabu na mahusiano mazuri na jamii.

Na wengi wanaosema hyo ukifatilia sana ni walimbukeni mkuu..

Seriously naonaga mtu mshamba sana anavokua anaongea msemo huo.

Yaani huu ni ushamba sana
Ndo wale vijana wa kuiga vitu kutoka kwa akina diamond bila kuangalia madhara yake.
 
Kabisa hawa wameharibu sana hiki kizazi ,vijana nao kwakujikuta wamechelewa kimbilio lao ni kamari. yaani uweke 1000 yako kesho uamke na million,sisemi haiwezekani,

Ila ni Kwa wachache mno huku wengine wakizidi kupotea na kupoteza zaidi
Washamba tu...
Mi huwa nashangaaa sana madogo wa sasa hvi wana ujanja wa kishamba sana.

Unakuta mtoto wa kike pombe, Bangi, na kutwa kucheza visingeli et
 
Sawa mkuu
 
Mimi ni kijana mwema, mfano wa kuigwa. Mtaani naitwa mtakatifu, bar naitwa mstaarabu, kanisani naitwa mtumishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…