GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
GENTAMYCINE nasisitiza Kwako kuwa acha Kuwazuga kwa kujifanya kuwa Unaumia na Umekereka sana na Dogo Fei kufanya aliyoyafanya.
Kwa Taarifa yako tu ni kwamba kuna Masheikh kutoka Zanzibar wameitwa kwa Kazi Maalum juu yako kwa Usaliti uliowafanyia halafu sasa Unawasanifu tu wakati wameshakushtukia.
Na aliyekuponza ni Dereva wako ambaye nae ni mwana Yanga SC Mwenzako ambaye Mpango mzima aliuona na ndiyo Kawataarifu Wazee wa Yanga SC na baadhi ya Wanachama Waandamizi.
Mfano Jana (Jumanne) ulikaa nao Matajiri wa Meli Bahari ya Hindi na Ice Cream ili Kufanikisha Deal kisha haraka Dogo Fei akamimbizwa Zanzibar na nina Taarifa ambazo GENTAMYCINE namalizia Kuzithibitisha kuwa Dogo Fei (Kimya Kimya) ameondoka nchini na hayuko.
Mwenzako Dili la Morrison lingemtokea Puani kwani licha ya Kujificha ila baadae alijulikana ni Yeye alimuuza Simba SC na isingekuwa Busara za Mzee wenu wa Mahakama ya Mananasi Tanzania Kumuombea Msamaha kwakuwa wako karibu kupitia Mwanae Kipenzi hivi sasa angeshakuwa Mwendawazimu/Taahira kabisa.
Kama utaenda Zanzibar hivi karibuni tafadhali Nisalimie sana Rais Dk. Hussein Ali Mwinyi ambaye huwa unaonana nae mara kwa mara na mwambie GENTAMYCINE namkubali mno na natamani hata 2025 aje huku Mainland na atoke huko Isles aliko sasa.
Kwa Taarifa yako tu ni kwamba kuna Masheikh kutoka Zanzibar wameitwa kwa Kazi Maalum juu yako kwa Usaliti uliowafanyia halafu sasa Unawasanifu tu wakati wameshakushtukia.
Na aliyekuponza ni Dereva wako ambaye nae ni mwana Yanga SC Mwenzako ambaye Mpango mzima aliuona na ndiyo Kawataarifu Wazee wa Yanga SC na baadhi ya Wanachama Waandamizi.
Mfano Jana (Jumanne) ulikaa nao Matajiri wa Meli Bahari ya Hindi na Ice Cream ili Kufanikisha Deal kisha haraka Dogo Fei akamimbizwa Zanzibar na nina Taarifa ambazo GENTAMYCINE namalizia Kuzithibitisha kuwa Dogo Fei (Kimya Kimya) ameondoka nchini na hayuko.
Mwenzako Dili la Morrison lingemtokea Puani kwani licha ya Kujificha ila baadae alijulikana ni Yeye alimuuza Simba SC na isingekuwa Busara za Mzee wenu wa Mahakama ya Mananasi Tanzania Kumuombea Msamaha kwakuwa wako karibu kupitia Mwanae Kipenzi hivi sasa angeshakuwa Mwendawazimu/Taahira kabisa.
Kama utaenda Zanzibar hivi karibuni tafadhali Nisalimie sana Rais Dk. Hussein Ali Mwinyi ambaye huwa unaonana nae mara kwa mara na mwambie GENTAMYCINE namkubali mno na natamani hata 2025 aje huku Mainland na atoke huko Isles aliko sasa.