Ewe Lissu, wana Ikungi hatujakutuma hayo

Ewe Lissu, wana Ikungi hatujakutuma hayo

HATOSHI KWA CHOCHOTE ZAIDI YA UCHOCHEZI:

Lissu ni mtu ambae ukifatilia uwezo wake wa kuwasaidia wananchi kimaendeleo hawezi kabisa lakini kuwachochea na kuwapandikizia chuki dhidi ya serikali anaweza asilimia mia kokote duniani.

Alipewa kura za ubunge ili awaletee wananchi maendeleo kule Singida lakini akarudi kwenye asili yake ya uchochezi na kujikuta kazi yake kubwa ni kuichokonoa serikali bila kujali ni nini alitumwa na wananchi.

Tangu awe mbunge kazi yake ni kusema mabaya tu kuhusu serikali huku akiwa hajui kero sahihi za wananchi wake Singida anayebisha aseme kawafanyia nini cha maana Singida.?? Hata siku moja huwezi kumsikia Lisu akizungumzia kero za wananchi wake.!

Kinachomuondoa kwenye ubora au kinachompoteza kwenye ubora ni kwamba "Hatoshi kuwa kiongozi" maana alikuwa bora katika harakati za haki za binadamu lakini alipopewa uongozi akapoteza ubora kwa kukosa hoja kabisa na akawa mtu wa kujadili matukio na ikumbukwe kiongozi mwenye uwezo wa kujadili sana matukio ni virahisi pia kutengeneza matukio ili apate sapoti ya wananchi kuyajadili.

Kiongozi hutumia hoja kufanya maendeleo huku mwanaharakati akiwa ni mtu wa matukio tu bila kuwa na hoja za kuwaletea wananchi maendeleo.

Mwisho Lissu hafai kuwa kiongozi ila anafaa kuwa mwanaharakati wa haki za binaadamu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu amewaumbua wauweni wapinzani wote uwezo mnao mnaogopa nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mwana Ikungi pure kabisa simuoni Lisu akijenga vyoo kama anayofanya Sugu Mbeya

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe sifa ya mbunge ni kujenga vyoo? Karne ya 21 unazungumzia habari za mbunge kujenga vyoo Sugu anafanya kitu ambacho kimeshanzishwa na wananchi ili kuziba midomo ya wapinzani wa hovyo kama ninyi.
.
Nchi inataka kuwa na uchumi wa kati kama EGYPT alafu unazungumzia habari za mbunge kujenga vyoo embu kajitafakari
 
Salamu Tanzania kila uchwao hujawai kosa jipya.

Lissu akienda kweny harakat za kupigania haki za binadamu bado utasema hafai kuwa mwanaharakati.....nafikiri utashauri awe mwana harakati wa haki za mimea.
 
Mleta mada leo ni mwana ikungi,juzi mwana Arusha kwa Lema,mtondogoo ni mwana Iringa kwa Msigwa!
Hahahahaaa,unaweza kuleta hoja bila kusingizia uongo!
 
HATOSHI KWA CHOCHOTE ZAIDI YA UCHOCHEZI:

Lissu ni mtu ambae ukifatilia uwezo wake wa kuwasaidia wananchi kimaendeleo hawezi kabisa lakini kuwachochea na kuwapandikizia chuki dhidi ya serikali anaweza asilimia mia kokote duniani.

Alipewa kura za ubunge ili awaletee wananchi maendeleo kule Singida lakini akarudi kwenye asili yake ya uchochezi na kujikuta kazi yake kubwa ni kuichokonoa serikali bila kujali ni nini alitumwa na wananchi.

Tangu awe mbunge kazi yake ni kusema mabaya tu kuhusu serikali huku akiwa hajui kero sahihi za wananchi wake Singida anayebisha aseme kawafanyia nini cha maana Singida.?? Hata siku moja huwezi kumsikia Lisu akizungumzia kero za wananchi wake.!

Kinachomuondoa kwenye ubora au kinachompoteza kwenye ubora ni kwamba "Hatoshi kuwa kiongozi" maana alikuwa bora katika harakati za haki za binadamu lakini alipopewa uongozi akapoteza ubora kwa kukosa hoja kabisa na akawa mtu wa kujadili matukio na ikumbukwe kiongozi mwenye uwezo wa kujadili sana matukio ni virahisi pia kutengeneza matukio ili apate sapoti ya wananchi kuyajadili.

Kiongozi hutumia hoja kufanya maendeleo huku mwanaharakati akiwa ni mtu wa matukio tu bila kuwa na hoja za kuwaletea wananchi maendeleo.

Mwisho Lissu hafai kuwa kiongozi ila anafaa kuwa mwanaharakati wa haki za binaadamu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
We si mwanaikingu mmoja kati ya wahuni wa lumumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe sifa ya mbunge ni kujenga vyoo? Karne ya 21 unazungumzia habari za mbunge kujenga vyoo Sugu anafanya kitu ambacho kimeshanzishwa na wananchi ili kuziba midomo ya wapinzani wa hovyo kama ninyi.
.
Nchi inataka kuwa na uchumi wa kati kama EGYPT alafu unazungumzia habari za mbunge kujenga vyoo embu kajitafakari
Kwa hiyo Lisu akiitukana serikali ,kutetea mabeberu na kuichafua nchi ,ndiyo itakuwa ya uchumi wa kati kama Egypt??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndaa ya njou mnaumia sana.
Lissu ni rais ajaye
 
HATOSHI KWA CHOCHOTE ZAIDI YA UCHOCHEZI:

Lissu ni mtu ambae ukifatilia uwezo wake wa kuwasaidia wananchi kimaendeleo hawezi kabisa lakini kuwachochea na kuwapandikizia chuki dhidi ya serikali anaweza asilimia mia kokote duniani.

Alipewa kura za ubunge ili awaletee wananchi maendeleo kule Singida lakini akarudi kwenye asili yake ya uchochezi na kujikuta kazi yake kubwa ni kuichokonoa serikali bila kujali ni nini alitumwa na wananchi.

Tangu awe mbunge kazi yake ni kusema mabaya tu kuhusu serikali huku akiwa hajui kero sahihi za wananchi wake Singida anayebisha aseme kawafanyia nini cha maana Singida.?? Hata siku moja huwezi kumsikia Lisu akizungumzia kero za wananchi wake.!

Kinachomuondoa kwenye ubora au kinachompoteza kwenye ubora ni kwamba "Hatoshi kuwa kiongozi" maana alikuwa bora katika harakati za haki za binadamu lakini alipopewa uongozi akapoteza ubora kwa kukosa hoja kabisa na akawa mtu wa kujadili matukio na ikumbukwe kiongozi mwenye uwezo wa kujadili sana matukio ni virahisi pia kutengeneza matukio ili apate sapoti ya wananchi kuyajadili.

Kiongozi hutumia hoja kufanya maendeleo huku mwanaharakati akiwa ni mtu wa matukio tu bila kuwa na hoja za kuwaletea wananchi maendeleo.

Mwisho Lissu hafai kuwa kiongozi ila anafaa kuwa mwanaharakati wa haki za binaadamu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unasema Lissu anafaa kuwa mwanaharakati wa haki za binaadamu! Wewe huyohuyo anapopigania haki za binaadamu unasema uchochezi! Mbona haueleweki? Pia wewe si mwanaikungi, umetumwa na nani? Mbona Lissu aliposhambuliwa haukuonekana kusikitishwa na tukio hilo?
 
Ww kama hata Mia wanakupa kwa kazi hii basi wanakula hasara sana. Kweli CCM Ina vichwa nimeamini
 
Hata Jiwe hatukumtuma akafanye haya anayoyafanya.
 
Back
Top Bottom