Ewe Mume, msaidizi wako anakutafuta

Ewe Mume, msaidizi wako anakutafuta

Status
Not open for further replies.
Bora useme na ww hawa ndio hujikuta wanakutana na maprofessa fulani na kuishia kuliwa tu maana hivyo vigezo hawezi kupata mtu humu zaid af nachukia sana wanaowatenga watoto wetu kwa kigezo tutarudiana na wanawake tulio nao wakat mwingine hawajui kila mtu ana msimamo wake ktk mapenz tukiacha tunaacha mazima
Je na wanaume wanaosema single mum hawafai koz hawachelewi kurudiana na baba wa mtoto unawaambiaje?
 
Dada yuko sahihi anahitaji mme mwenye kazi ili aweze kumjali na kumtunzia familia yake, ninyi mnataka na mwanamke naye awe na kazi nani anayepaswa kupambana na majukumu ya kifamilia kama baba?

Baadhi ya wanaume wa siku hizi sijui mmekuwaje, tambueni nafasi zenu kama wanaume kwenye familia ndo maana na wanawake nao wanataka haki sawa kwa sababu ya uwepo wa wanaume wa aina hii.
Usichokijua ni hiyo haki sawa ndo imezalisha wanaume wa aina hiyo
 
naelewa ndio kuna wanaume hawana elimu na wana maisha mazuri na wana mapenzi kuliko hata hao wenye elimu, na siishi kwa kufikiri tu kuwa wenye elimu ndo wenye maisha mazuri na mapenzi, maana wapo wengi tu wana elimu na maisha yao yapo yapo tuu, maana kama ingekua hivyo mi pia ningekuwa na maisha mazuri kupitia hako ka elimu.
Ila jamani maisha ni kuchagua, mara nyingine kuwa na mtu umemzidi elimu nayo ni changamoto pia unamkuta mtu anatumianguvu nyingii kujionyesha kuwa yeye ni mwanaume kisa tu anahisi unaweza uka mdharau kisa umemzidi elimu tu, kumbe wala unamheshimu na kutambua nafasi yake kama mwanaume.
Kweli hapa umepiga knock out na kwa kuanzia na walio lalamikia hilo
 
Bora useme na ww hawa ndio hujikuta wanakutana na maprofessa fulani na kuishia kuliwa tu maana hivyo vigezo hawezi kupata mtu humu zaid af nachukia sana wanaowatenga watoto wetu kwa kigezo tutarudiana na wanawake tulio nao wakat mwingine hawajui kila mtu ana msimamo wake ktk mapenz tukiacha tunaacha mazima
Mkuu tatizo anae tafuta hajui anatafuta nini hili ndio tatizo angejua lazima angeweka baadhi ya vigezo vya msingi sio hivi alivyo weka
 
naelewa ndio kuna wanaume hawana elimu na wana maisha mazuri na wana mapenzi kuliko hata hao wenye elimu, na siishi kwa kufikiri tu kuwa wenye elimu ndo wenye maisha mazuri na mapenzi, maana wapo wengi tu wana elimu na maisha yao yapo yapo tuu, maana kama ingekua hivyo mi pia ningekuwa na maisha mazuri kupitia hako ka elimu.
Ila jamani maisha ni kuchagua, mara nyingine kuwa na mtu umemzidi elimu nayo ni changamoto pia unamkuta mtu anatumianguvu nyingii kujionyesha kuwa yeye ni mwanaume kisa tu anahisi unaweza uka mdharau kisa umemzidi elimu tu, kumbe wala unamheshimu na kutambua nafasi yake kama mwanaume.
Duuuh kupanga ni kuchagua
 
Je na wanaume wanaosema single mum hawafai koz hawachelewi kurudiana na baba wa mtoto unawaambiaje?

Hata hao pia hawafai hivi kwanini wadisapoint kupitia vitu visivyo na msingi kuzaa na mtu sio kigezo kabisa et cha kurudiana na mtu wake isipokua kutakua na connection km wazaz japo wengine hutumia chance km hiyo kuendeleza mahusiano, ila ni ukosefu wa akili yaan ushaachana na mtu af bado uendelee nae ilihali unaona hawez kuishi na ww zaid ya kukugonga tuu..... en tusikatishe mahusiano ya mtoto na mzaz wake kiufupi pia
 
Usichokijua ni hiyo haki sawa ndo imezalisha wanaume wa aina hiyo
Na hiyo imetokana na baadhi ya wanaume wajinga kuwanyanyasa wake zao sana vile watakavyo kwa kile kinachodaiwa ni kutokana na kutokuwa na uwezo wa kuingiza kipato ndani ya familia ambacho hawezi jivunia.
 
Punguza mwaka mmoja tuyajenge alafu wewe unataka mwenye degree wakati huo huo wewe una degree na kazi huna hapo umeniacha hoi
 
Habarini za muda wapendwa?
Kama Mungu alivyosema "si vyema mtu huyu akawa peke yake bali nitamfanyia msaidizi"

Natafuta mume mwenye hitaji la msaidizi (mke).

wasifu wangu:
umri: miaka 25
dini: mkristo
makazi: Arusha
elimu: Degree
kazi: sina
rangi: maji ya kunde
urefu: futi 5.5
mwili: mwembamba
mtoto: sina

wasifu wa nimtakaye:
umri: 28-35
dini: mkristo
kazi: awenayo
elimu: degree na kuendelea
asiwe na mtoto

Kwa mwenye uhitaji na aliye serious karibu PM tufahamiane zaidi.
Mungu ni mwema atakup hitaji lako..all the best
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom