Eti awe na kazi ww unayo? Umri umeenda huo atakayekuja yoyote ww beba acha vigezo vya kijinga, Eti asiwe na mtoto unampangia na kuzaa, mwanaume hapagiwi kuzaaWewe kazi huna ila unayemtaka unataka awe nayo.
Sasa kama wewe huna kazi unadhani huyo unayemtaka yeye kazi atapata wapi??
Ilikataliwa inaonekana ndio maana hataki mtoto wa mwinginekama hujawahi ku-abort n PM
Bado picha...... Weka na picha kukamilisha CV yakoHabarini za muda wapendwa?
Kama Mungu alivyosema "si vyema mtu huyu akawa peke yake bali nitamfanyia msaidizi"
Natafuta mume mwenye hitaji la msaidizi (mke).
wasifu wangu:
umri: miaka 25
dini: mkristo
makazi: Arusha
elimu: Degree
kazi: sina
rangi: maji ya kunde
urefu: futi 5.5
mwili: mwembamba
mtoto: sina
wasifu wa nimtakaye:
umri: 28-35
dini: mkristo
kazi: awenayo
elimu: degree na kuendelea
asiwe na mtoto
Kwa mwenye uhitaji na aliye serious karibu PM tufahamiane zaidi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Haha kama nakuona vile
Behaviourist
Angejidanganya tu aandike kigezo cha wowowo
Ungekuwa pm siti ya kwanza
Ahaa kumbeWenye bikra wote wameolewa
Hampashi viporo sio??Bora useme na ww hawa ndio hujikuta wanakutana na maprofessa fulani na kuishia kuliwa tu maana hivyo vigezo hawezi kupata mtu humu zaid af nachukia sana wanaowatenga watoto wetu kwa kigezo tutarudiana na wanawake tulio nao wakat mwingine hawajui kila mtu ana msimamo wake ktk mapenz tukiacha tunaacha mazima
Sifa zote nipo nazo,ila elimu yangu la saba.Nimejiajiri katika ujasiliamali na kutoa ajira kwa watu wengine.Vp nina sifa za kuja pm?Habarini za muda wapendwa?
Kama Mungu alivyosema "si vyema mtu huyu akawa peke yake bali nitamfanyia msaidizi"
Natafuta mume mwenye hitaji la msaidizi (mke).
wasifu wangu:
umri: miaka 25
dini: mkristo
makazi: Arusha
elimu: Degree
kazi: sina
rangi: maji ya kunde
urefu: futi 5.5
mwili: mwembamba
mtoto: sina
wasifu wa nimtakaye:
umri: 28-35
dini: mkristo
kazi: awenayo
elimu: degree na kuendelea
asiwe na mtoto
Kwa mwenye uhitaji na aliye serious karibu PM tufahamiane zaidi.