Eti awe na kazi ww unayo? Umri umeenda huo atakayekuja yoyote ww beba acha vigezo vya kijinga, Eti asiwe na mtoto unampangia na kuzaa, mwanaume hapagiwi kuzaaWewe kazi huna ila unayemtaka unataka awe nayo.
Sasa kama wewe huna kazi unadhani huyo unayemtaka yeye kazi atapata wapi??