Ewe mwana Yanga SC mtaje JF Member mwana Simba SC uliyempania kumnanga mno leo Yanga SC ikifuzu Makundi

Ewe mwana Yanga SC mtaje JF Member mwana Simba SC uliyempania kumnanga mno leo Yanga SC ikifuzu Makundi

Najadiliwa katika Vipindi mbalimbali vya Redio, nafuatiliwa na Wakubwa ( VIP's ) wengi, Maandiko yangu hapa JamiiForums yanatumika katika Magazeti na Mitandao ya Bloggers wa Tanzania, Naaminika Kiuchambuzi wa Masuala Mtambuka, Nakubalika mno JamiiForums mpaka Wengine ( kama Wewe mnaniiga ) na kutamani nanyi muwe kama Mimi GENTAMYCINE, nimeshapongezwa tena kwa kutajwa na aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden Dk. Wilbroad Slaa, nafuatiliwa na Wakuu wote wa Sekta Nyeti za nchi JWTZ na TISS mpaka Kujadiliwa katika Vikao vyao na nina Utajiri mkubwa wa Followers ( tena Great Thinkers ) wa hapa JamiiForums wapatao 117+.

Je, kwa yote haya unadhani sistahili kuwa na Kiburi, Nyodo na Jeuri zote juu yako Juha Mmoja Wewe?

Nasubiri nawe uniorodheshee Mafanikio yako hapa JamiiForums kwa hii iD yako ya Kuniiga ya GENTAMYCIME sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' na kamwe hakuna wa Kujifananisha wala Kujilinganisha nami Kudadadeki.
umedhihirisha kabisa how fool you are, mtu mwenye mafanikio makubwa au umaarufu hua hajielezi sana ila kazi/mafanikio yake ndio humueleza, sasa wewe ulivyo ndemwa unahangaiikaa kujieleza hapa kwa vitu vya kuokoteza ili tu uonekana we nae umo, kwa ushauri tu endelea na hiyo likizo yako ya maternity na uwe makini usije ukabemenda mtoto sawa?
 
umedhihirisha kabisa how fool you are, mtu mwenye mafanikio makubwa au umaarufu hua hajielezi sana ila kazi/mafanikio yake ndio humueleza, sasa wewe ulivyo ndemwa unahangaiikaa kujieleza hapa kwa vitu vya kuokoteza ili tu uonekana we nae umo, kwa ushauri tu endelea na hiyo likizo yako ya maternity na uwe makini usije ukabemenda mtoto sawa?
Sawa.
 
sitarajii shobo za ajabu kwangu kuanzia time hii
I don't have that time continuing arguing and wasting my time with Blocked Mentally Character and Uncircumcised Baboon like you okay?
 
Mshana Jr huyu member shabiki wa Simba kawapa mbinu Al hilal jinsi ya kuzuia uchawi tunaotumia sisi Yanga wa ushindi kipindi cha pili.

nina hakika leo Yanga hatutopata hata goli moja kwasababu uchawi wetu haitofua dafu kwa Al hilal. sababu ni huyu Mshana Jr

Mungu mbariki mzee Mpili,Mungu mbariki Mandonga ntu kazi.
[emoji23]
IMG-20221017-WA0023.jpg
 
Back
Top Bottom