Ewe mwanamke usikubali kuingia kwenye makundi yenye majina haya

Ewe mwanamke usikubali kuingia kwenye makundi yenye majina haya

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Majina haya ni mabaya n yanatweza utu wa mwanamke lkn yamepakwa nakshi kuyafanya yaonekane mazuri. Kamwe wanawake msiyakubali na msikubali kuingia kwenye makundi yenye majina haya.

Ifuatayo ni tafsiri ya kila jina kwa mujibu wa tafutishi za Sexless unit :-

1. Lishangazi ni kahaba aliyezeeka. Yaani umri wa mwanamamke umeenda lkn bado anatembeza nyapu.

2. Superwoman ni mwanamke ambaye ndoa imemshinda, kaamua kuishi peke yake, na anachukia wanaume.

3. Singo mama ni mwanamke (hususani binti) ambaye ni kiruka njia (mdangaji) kazalishwa kabla ya ndoa. Kwa asili hana adabu na hakufunzwa na mamaye, sasa kafunzwa na mabaharia.

4. Mpambanaji huyu ni mwanamke mdangaji alieamua kutumia k yake kama kitega uchumi. Ana kabiashara uchwara ka kuzugia lkn maisha yake yote yanategemea mabwana anaowachuna. Kwahiyo upambanaji wanaosema ni WA kutafuta mabwana siyo (waume).

Makundi yote haya yanaepukika, chaguo ni lako.
 
Majina haya ni mabaya n yanatweza utu wa mwanamke lkn yamepakwa nakshi kuyafanya yaonekane mazuri. Kamwe wanawake msiyakubali na msikubali kuingia kwenye makundi yenye majina haya.

Ifuatayo ni tafsiri ya kila jina kwa mujibu wa tafutishi za Sexless unit :-
1. Lishangazi ni kahaba aliyezeeka. Yaani umri wa mwanamamke umeenda lkn bado anatembeza nyapu.
2. Superwoman ni mwanamke ambaye ndoa imemshinda, kaamua kuishi peke yake, na anachukia wanaume.

3. Singo mama ni mwanamke (hususani binti) ambaye ni kiruka njia (mdangaji) kazalishwa kabla ya ndoa. Kwa asili hana adabu na hakufunzwa na mamaye, sasa kafunzwa na mabaharia.

Makundi yote haya yanaepukika, chaguo ni lako.
Umesahau Mwanamke Mpambanaji 🙂
 
Majina haya ni mabaya n yanatweza utu wa mwanamke lkn yamepakwa nakshi kuyafanya yaonekane mazuri. Kamwe wanawake msiyakubali na msikubali kuingia kwenye makundi yenye majina haya.

Ifuatayo ni tafsiri ya kila jina kwa mujibu wa tafutishi za Sexless unit :-
1. Lishangazi ni kahaba aliyezeeka. Yaani umri wa mwanamamke umeenda lkn bado anatembeza nyapu.
2. Superwoman ni mwanamke ambaye ndoa imemshinda, kaamua kuishi peke yake, na anachukia wanaume.

3. Singo mama ni mwanamke (hususani binti) ambaye ni kiruka njia (mdangaji) kazalishwa kabla ya ndoa. Kwa asili hana adabu na hakufunzwa na mamaye, sasa kafunzwa na mabaharia.

Makundi yote haya yanaepukika, chaguo ni lako.Yaa
yaani sikuhizi ulimwengu wetu unapenda sana watu wa namna hxo. Hata wasanii wetu wanasapoti (na ukipata limama likuoe likupe pesa huu mwaka utoboe). Dah! Hatari sana.
 
yaani sikuhizi ulimwengu wetu unapenda sana watu wa namna hxo. Hata wasanii wetu wanasapoti (na ukipata limama likuoe likupe pesa huu mwaka utoboe). Dah! Hatari sana.
Dunia inatembelea kichwa badala ya miguu. Maovu yanasifiwa, mema yanapondwa.
 
Majina haya ni mabaya n yanatweza utu wa mwanamke lkn yamepakwa nakshi kuyafanya yaonekane mazuri. Kamwe wanawake msiyakubali na msikubali kuingia kwenye makundi yenye majina haya.

Ifuatayo ni tafsiri ya kila jina kwa mujibu wa tafutishi za Sexless unit :-
1. Lishangazi ni kahaba aliyezeeka. Yaani umri wa mwanamamke umeenda lkn bado anatembeza nyapu.
2. Superwoman ni mwanamke ambaye ndoa imemshinda, kaamua kuishi peke yake, na anachukia wanaume.

3. Singo mama ni mwanamke (hususani binti) ambaye ni kiruka njia (mdangaji) kazalishwa kabla ya ndoa. Kwa asili hana adabu na hakufunzwa na mamaye, sasa kafunzwa na mabaharia.

Makundi yote haya yanaepukika, chaguo ni lako.
Majina ya hovyo.
 
kwa wanawake wafanyakaji wa umma kuwa maa single mother haikwepeki wakishapata watoto wanawadharau sana waume zao,

Wanacho nishangazaga wanadai talaka alafu kutwa wako bar wanajidhalilisha na vijana wadogo huku watoto wakilelewa na wadada wa kazi yaan swala la mashoga huko mbeleni litatisha, Asilimia zaidi ya 80 wanao ongoza kudai talaka ni wanawake wafanyakazi wa serikali na umri ni 40-45 na ni walevi na muda wa kukaa na watoto hawana
 
🖐🏾 single mama here,, nothing to regret kuliko kuendelea kuvumilia maumivu ya moyo wacha ikae,,ila wanaume punguzeni uongo,tabia ya kutoka mkoa fulani na kuja mikoa mingine na kufata taratibu zote za kuishi nasisi bila kusema kua mmeoa aseeee🙌🏾tunatolewa hadi mali,mnasubiri mmepachika mimba au kuiba cm zenu ndo tujue mliyoyaficha🙌🏾🖐🏾.


PUNGUZENI KUWASEMA JAMANIIII WATU WANATUPA WATOTO HUKU😫😫



kwa niaba ya single maza wanaozingatia kejeli za jf,,msitupe watoto jamani kisa maneno haya yasiyo na tija lea watoto wenu,,coz kila mtu ana chanzo cha kua hivo
 
Hapo kwenye wanawake wapambanaji ungetoa ungeweka Wadangaji. Wapo wapambanaji ila wanajua role yao kwa familia na kwa mmewe.

Ila yote kwa yote hawa wadangaji wa Insta wanao anika matako na kubadilisha wanaume wenye hela kila siku,wadogo zetu wa kike wanawaona watu wa maana sana. Hiki kizazi jitahidi kukiweka mbali sana na wadogo zako wa kike, insta wapo kibao,kwenye bongo movie wanakitumia kivuli za uigizaji ili kuendelea kufanya umalaya wao.Wadogo zetu wakike wengi wanakuwa inspired na lifestyle yao.

Hawajui abuse wanazo zipitia wadangaji,wengine wanafumuliwa nyuma,kuna wengine huko wanafanyishwa mapenzi na wanyama,wanapigwa mtungo, kuna wengine ktk hiyo sex ya makundi wanalazimishwa wasagane wenyewe kwa wenyewe.
 
Hapo kwenye wanawake wapambanaji ungetoa ungeweka Wadangaji. Wapo wapambanaji ila wanajua role yao kwa familia na kwa mmewe.

Ila yote kwa yote hawa wadangaji wa Insta wanao anika matako na kubadilisha wanaume wenye hela kila siku,wadogo zetu wa kike wanawaona watu wa maana sana. Hiki kizazi jitahidi kukiweka mbali sana na wadogo zako wa kike, insta wapo kibao,kwenye bongo movie wanakitumia kivuli za uigizaji ili kuendelea kufanya umalaya wao.

Hawajui abuse wanazo zipitia wadangaji,wengine wanafumuliwa nyuma,kuna wengine huko wanafanyishwa mapenzi na wanyama,wanapigwa mtungo, kuna wengine ktk hiyo sex ya makundi wanalazimishwa wasagane wenyewe kwa wenyewe.
Khaah jamaniiiii 🙌🏾
 
Khaah jamaniiiii 🙌🏾
Husiwaone hawa leo wapo Dubai,Kesho Nigeria mara Uturuki na sehemu nyingine ila wanayo pitia ni magumu.

Hamna mistake kubwa wanayo fanya wanawake wengi wa siku hizi kama kuithaminisha ngono kwa fedha, kwani wanaume nae anakutumia kama kifaa/object,hapo hisia/upendo/huruma hamna kwake ni kama kifaa cha kufanyia mapenzi.
 
🖐🏾 single mama here,, nothing to regret kuliko kuendelea kuvumilia maumivu ya moyo wacha ikae,,ila wanaume punguzeni uongo,tabia ya kutoka mkoa fulani na kuja mikoa mingine na kufata taratibu zote za kuishi nasisi bila kusema kua mmeoa aseeee🙌🏾tunatolewa hadi mali,mnasubiri mmepachika mimba au kuiba cm zenu ndo tujue mliyoyaficha🙌🏾🖐🏾.


PUNGUZENI KUWASEMA JAMANIIII WATU WANATUPA WATOTO HUKU😫😫



kwa niaba ya single maza wanaozingatia kejeli za jf,,msitupe watoto jamani kisa maneno haya yasiyo na tija lea watoto wenu,,coz kila mtu ana chanzo cha kua hivo
......don' worry mamii hauingii ktk kundi hilo coz una genuine reason kuwa singo, lakini ulipaswa kusamehe tu as long as jamaa alikuwa responsible kwako na familia Kwa ujumla na alikuchagua wewe.......
 
Husiwaone hawa leo wapo Dubai,Kesho Nigeria mara Uturuki na sehemu nyingine ila wanayo pitia ni magumu.

Hamna mistake kubwa wanayo fanya wanawake wengi wa siku hizi kama kuithaminisha ngono kwa fedha, kwani wanaume nae anakutumia kama kifaa/object,hapo hisia/upendo/huruma hamna kwake ni kama kifaa cha kufanyia mapenzi.
aloooh inatisha watu wanajua kujitosa shimoni jamani
 
......don' worry mamii hauingii ktk kundi hilo coz una genuine reason kuwa singo, lakini ulipaswa kusamehe tu as long as jamaa alikuwa responsible kwako na familia Kwa ujumla na alikuchagua wewe.......
hapana hapana hapana,,ni mengi jamani sidhan kama aliwahi nipenda coz hakua na kazi nikawa namshika mkono kumbe nisijue ananitumia mimi kufeed familia yake🙌🏾🙌🏾🙌🏾...... punguzeni kusema single maza jaman
 
Ungetaja wadangaji na mishangazi thread yako ikaishia hapo ingekua na maana!!
 
......tabia mbaya za baadhi ya akina dada imefanya haya majina kuwa na sura tofauti na ilivyokusudiwa, kwakweli ukisikia mwanamke anaitwa supawuman fasta akili inasense ubishi, ushindani na ujeuri.......
 
Back
Top Bottom