Ewe Mwanamke Wa JF, Ukipata Mwanaume JF Jua ndio Mwanaume Bora Tanzania

Mkuu,

Kwa mtazamo wangu, watu wa huku ni wajanja sanaaa....

Yani wamezidi wale wasiwopo humu kwa asilimia fulani...

"Nimekuelewa hapo kwenye show ya Kibabe [emoji39]"
 
Hahahaa
 
Msiwe wanasiasa. Jamii forums ni app. Watu wako kwenye mitaa tunayoishi na hakuna hata mtu mmoja na haitakuja kutoakea mru kuishi ndani ya hii app.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…