Ewe Mwanamke Wa JF, Ukipata Mwanaume JF Jua ndio Mwanaume Bora Tanzania

Sasa hoja yako inajieleza ukweli, nimesimamia hapo kwamba huwezi kutofautisha, maana unaanzaje ukatofautisha watu wa mtaani na wa humu wakati ndiyo hao hao wapo jf
Sawa mkuu
 
Yaani kama mimi nazalisha watoto ma genius mwanamke wa JF njoo kwangu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…