Ewe Mwanamke Wa JF, Ukipata Mwanaume JF Jua ndio Mwanaume Bora Tanzania

Kiukwel mwanamke atakae pata bahati ya kuolewa na mimi atakua kaokota almas mtaa wa kongo.. Nafanya kila kitu nachoona kitafaa ili aje kuushi maisha ya furaha na amanii.. Usinitese tu we mwanamke
Hahahaha bro inaonyesha wewe ni muaminifu sana kwenye mahusiano but mwishoni huwa unaishia kwenye maumivu.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…