Ewe Mwananchi jihadhari na Futari za Kampeni ili kuepuka laana ya Allah

Ewe Mwananchi jihadhari na Futari za Kampeni ili kuepuka laana ya Allah

Bismillah Rahman Raheem.

Mwaka wa Uchaguzi umefika na Mwezi wa Ramadhan ushawadia, leo tuko Chungu cha pili.

Sasa kama mjuavyo kwa miaka ya sasa kila jambo ni fursa, mtaalikwa kila mahali na kwa watu hata wasio Waislam ili mradi wawavuteni ili muwachague.

Kuweni Makini na Allah Subhannah akuepusheni na futari za Michongo ili msiifakamie laana .

Usije sema hatukukuambia

Wabhillah Tawfiq
 
Bismillah Rahman Raheem.

Mwaka wa Uchaguzi umefika na Mwezi wa Ramadhan ushawadia, leo tuko Chungu cha pili.

Sasa kama mjuavyo kwa miaka ya sasa kila jambo ni fursa, mtaalikwa kila mahali na kwa watu hata wasio Waislam ili mradi wawavuteni ili muwachague.

Kuweni Makini na Allah Subhannah akuepusheni na futari za Michongo ili msiifakamie laana .

Usije sema hatukukuambia

Wabhillah Tawfiq
Futari ya kampeni ndiyo fut,, tari gani thawabu anatoa Mungu kwahiyo wewe usiangalie aliye kufuturisha wewe jiangalie wewe mwenyewe kuwa upo safi? Kila mtu atahukumiwa yeye kamaa yeye wana Mungu hatahukumu kwa kundi fulani. Wewe futuru bora tu asikupe masharti ya kumkufuru Mungu.
 
Futari ya kampeni ndiyo fut,, tari gani thawabu anatoa Mungu kwahiyo wewe usiangalie aliye kufuturisha wewe jiangalie wewe mwenyewe kuwa upo safi? Kila mtu atahukumiwa yeye kamaa yeye wana Mungu hatahukumu kwa kundi fulani. Wewe futuru bora tu asikupe masharti ya kumkufuru Mungu.
Hapo ndipo mnapokesea enyi ndugu zetu katika Imani. Kufakamia chochote hata kilichotoka Kwa majambazi yanayoua waja wa Mnyezi Mungu
 
Bismillah Rahman Raheem.

Mwaka wa Uchaguzi umefika na Mwezi wa Ramadhan ushawadia, leo tuko Chungu cha pili.

Sasa kama mjuavyo kwa miaka ya sasa kila jambo ni fursa, mtaalikwa kila mahali na kwa watu hata wasio Waislam ili mradi wawavuteni ili muwachague.

Kuweni Makini na Allah Subhannah akuepusheni na futari za Michongo ili msiifakamie laana .

Usije sema hatukukuambia

Wabhillah Tawfiq
Kimuingiacho mtu haswa chakula hakiwezi kumtia mtu unajisi ila kimtokacho ndio kubwa lao la kumtia mtu unajisi.Watu wagonge futari sana sana .kinachowasumbua watanzania 90% ni ROHO MBAYA, CHUKI na WIVU hawa ndio maadui wapya wa nchi
 
Kimuingiacho mtu haswa chakula haiwezi kumtia mtu unajisi ila kimtokacho ndio kubwa lao la kumtia mtu unajisi.Watu wagonge futari sana sana
Huyu analeta siasa kwenye mambo ambayo hana ufahamu nayo
 
Leo umezungumza mkuu, na hata wanao futurisha kwa kutafta umaarufu ili wapendwe zaidi na jamii kwa ajili ya Chaguzi nao watalaamiwa vibaya .
 
Kimuingiacho mtu haswa chakula hakiwezi kumtia mtu unajisi ila kimtokacho ndio kubwa lao la kumtia mtu unajisi.Watu wagonge futari sana sana .kinachowasumbua watanzania 90% ni ROHO MBAYA, CHUKI na WIVU hawa ndio maadui wapya wa nchi
Kwahiyo hata kitimoto ruksa?
 
Hongereni wananchi kwa kujitenga na hizo futari zao
 
Acha kuchanganya dini na siasa.
Screenshot_20241129-140243.jpg
 
Back
Top Bottom