Ewe mzazi kama kuna shule za day huna haja ya kumpeleka mtoto boarding, Boarding imekuwa hatari sana kwa watoto kwa hali ya sasa

Ewe mzazi kama kuna shule za day huna haja ya kumpeleka mtoto boarding, Boarding imekuwa hatari sana kwa watoto kwa hali ya sasa

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Sioni haja ya kupeleka mtoto boarding ikiwa upo mazingira yenye shule za day zenye hizi sifa:

-zipo karibu zinafikika ndani ya lisaa
-zinafaulisha takribani wanafunzi asilimia 50
-zina walimu wa kutosha
-usimamizi upo wa mzazi kufahamishwa mahudhurio ya mtoto


Tuache kudanganyana kama zamani eti mtoto akajifunze maisha boarding, maisha kwa kiasi kikubwa mtoto ibabidi ajifunzie nyumbani kwa muongozo wa wazazi / walezi, sisi tuliowahi kusoma boarding na day tunayajua haya.

Huko boarding hakuna mtu mzima ambae ana mida na mtoto wako, yule matron / patron ambae unamuambia akutunzie mtoto huwa anaambiwa hivyo na kila mzazi.

hata kama upo bize sana ni heri angalau umuone mtoto wako kila siku hata iwe usiku unavyorudi kuliko kumwacha huko boarding miezi

Ni kweli kuna michezo michafu ipo hata mtaani kwa day lakini ukikaa na mtoto wako unapata chance ya kuwa nae karibu na kuweza kumguide, kumbuka hata hao wa boarding nao wakija likizo wanaingia maisha ya mtaani wakiingia kwenye michezo michafu ya mitaani unaweza kujua mapema na kumrekebisha lakini akirudi huko boarding huwezi jua kinachoendelea

Sikuhizi boarding kumwekuwa na mambo negative hasa ya utandawazi yaliyoongezeka kwa kiasi kikubwa sana kuliko zamani, mambo haya yalikuwepo ila yameongezeka sana

  • watoto wadogo wanafundishana kupiga punyeto mabafuni wakati wa kuoga.
  • Kuna katuni / muvi kibao siku hizi zinazoesha mapenzi ya jinsia moja yaonekane kawaida, vishawishi vimeongezeka vya watoto huko mabwenini kujaribu hii michezo, unamkuta mtoto darasani kipanga ila anajitangaza ni gay na anachukulia kawaida, mfano mwaka jana hapo kuna mtoto wa mtanzania moja maarufu alijitangaza mtandaoni ila mama yake akafuta na kumtetea.
  • Kumeongezeka kasi kubwa sana ya watoto kutumia pombe na bangi mabwenini hasa weekend, ni kweli hata sisi zamani haya mambo yalikuwepo ila kwa sasa yamezidi.
  • ni ngumu sana mtoto bila uangalizi kwenda kanisani / msikitini, n.k. kuna shule hadi watoto waende hizo sehem mpaka basi likodishwe tena mara chache


Kama shule za day zipo ni heri uwe na mtoto wako mpaka atakapoenda chuoni
 
Najua walio wengi humu wanaweza kukupinga ila mimi niko upande wako siamini mtu yeyote kwa wanangu aiaee harafu ili nimfunze majukumu na kazi za kila siku kweny maisha ya kila siku pia naona ni vizuri niwe naye home akisoma day nakuwa huru sana..

Ila kwasababu wazazi tulio wengi tuko bize tunaona bora kuwapeleka boarding ili kuondoa usumbufu nyumbani utasikia wazazi wengine shule zikifungwa wanasema bora zifungiliwe watoto waondoke wanakera yaani mwanao anakera kuwa nyumbani kwao hii sini aibu aisee kwaiyo unataka akulelee nani mwanao kesho akiharibika utamlaumu nani? Wazazi swala la malezi kwa watoto wetu ni wajibu wetu tusikwepe.
 
Days labda za huko mkoani, hapa dar es salaam kila nilipita Naona vijana wapo nje ya madarasa wanaviredio mara wanacheza visingeli wamekunja suruali.

SAA mbili usiku wapo wanangojea daladala....

Na walalugha mbovu za kihuni

Kwakweli hapana.

Bado bodaboda wamtaani..

Akakae boarding tuu huko nihangaike Ada ipatikane.
 
Mleta mada hujielewi baba na mama wanajeshi wanaishi kwenye makambi porini huko hakuna shule karibu unataka watoto wao wasome wapi? kama sio bweni

Kuna wale vipato shida kula shida pa kulala shida anaamua akope mtoto aende bweni kwenye uhakika wa chakula na malazi

Kuna wale waondoka usiku Wana hoteli nk au kazi huamka usiku kwenda kazini na kurudi usiku unatakaje?

Hiyo hoja Kenya ndio walianzisha upinzani waliopata kutoka Kwa wazazi Tena wakiwemo watu wenye pesa sio mdogo zoezi limeshindikana Kenya

Wazazi hawataki
Mleta mada Lea mwanao aende day atongozwe na bodaboda bajaji na Makonda kisa anabana kahela unampa utajijua

Kila mzazi ahangaike na mwanae tusipangiane
 
Mambo ya kizamani zamani ya kusema boarding kunamjenga mtoto yalishapitwa na wakati,

Mtoto hajidunzi maisha boarding bali anajifunza nyumbani, ni dhana za kizamani tu.

Sikuhizi boarding kumwekuwa na mambo negative hasa ya utandawazi yaliyoongezeka kwa kiasi kikubwa sana,

  • watoto wadogo wanafundishana kupiga punyeto mabwenini
  • watoto mabwenini wanaiga muvi kukisiana mwishowe wanaanza kujaribu kuingiliana na kusagana
  • Kumeongezeka kasi kubwa sana ya watoto kutumia pombe na bangi mabwenini hasa weekend
  • ni ngumu sana mtoto bila uangalizi kwenda kanisani / msikitini, n.k


Kama shule za day zipo ni heri uwe na mtoto wako mpaka atakapoenda chuoni
Mkoani huko. Siyo Dar lakini pia shule iwe karibu
 
Najua walio wengi humu wanaweza kukupinga ila mimi niko upande wako siamini mtu yeyote kwa wanangu aiaee harafu ili nimfunze majukumu na kazi za kila siku kweny maisha ya kila siku pia naona ni vizuri niwe naye home akisoma day nakuwa huru sana..

Ila kwasababu wazazi tulio wengi tuko bize tunaona bora kuwapeleka boarding ili kuondoa usumbufu nyumbani utasikia wazazi wengine shule zikifungwa wanasema bora zifungiliwe watoto waondoke wanakera yaani mwanao anakera kuwa nyumbani kwao hii sini aibu aisee kwaiyo unataka akulelee nani mwanao kesho akiharibika utamlaumu nani? Wazazi swala la malezi kwa watoto wetu ni wajibu wetu tusikwepe.
Mtoto sekondari kusoma bweni kuna faida kubwa sana. Hizo bangi hata akiwa day anaweza akavuta tu.

Mimi nimesoma bweni na sijajifunza tabia yeyote mbaya isipokuwa masterbation, na kwa mujibu wangu mimi, siyo tabia mbaya.

Watoto wangu watasoma bweni.
 
Mtoto sekondari kusoma bweni kuna faida kubwa sana. Hizo bangi hata akiwa day anaweza akavuta tu.

Mimi nimesoma bweni na sijajifunza tabia yeyote mbaya isipokuwa masterbation, na kwa mujibu wangu mimi, siyo tabia mbaya.

Watoto wangu watasoma bweni.
Puli ni tabia mbaya mkuu,kwanini upulike wakati wanawake ni WENGI Hadi wanamwagika?
 
Days labda za huko mkoani, hapa dar es salaam kila nilipita Naona vijana wapo nje ya madarasa wanaviredio mara wanacheza visingeli wamekunja suruali.

SAA mbili usiku wapo wanangojea daladala....

Na walalugha mbovu za kihuni

Kwakweli hapana.

Bado bodaboda wamtaani..

Akakae boarding tuu huko nihangaike Ada ipatikane.
Watoto wa shule zipi hufanya hivyo??
Mtoto anasoma shule ya serikali temeke, tandale , buza, vingunguti unategemea aweje??

Mpeleke mtoto asome day shule kama tusiime uone kama hata huo muda wa visingeli atakua nao!!

Na pia ni hali ya kipato chako ndgu, kama wewe ni tia maji tia maji. Dogo home panamboa, nyumban hakuna out za hapa na pale nyumbani hamna kazi yoyote anayofanya zaidi ya kula, kunya na kulala lazima aambatane na wa visingeli tu.
 
Mambo ya kizamani zamani ya kusema boarding kunamjenga mtoto yalishapitwa na wakati,

Mtoto hajidunzi maisha boarding bali anajifunza nyumbani, ni dhana za kizamani tu.

Sikuhizi boarding kumwekuwa na mambo negative hasa ya utandawazi yaliyoongezeka kwa kiasi kikubwa sana,

  • watoto wadogo wanafundishana kupiga punyeto mabwenini
  • watoto mabwenini wanaiga muvi kukisiana mwishowe wanaanza kujaribu kuingiliana na kusagana
  • Kumeongezeka kasi kubwa sana ya watoto kutumia pombe na bangi mabwenini hasa weekend
  • ni ngumu sana mtoto bila uangalizi kwenda kanisani / msikitini, n.k


Kama shule za day zipo ni heri uwe na mtoto wako mpaka atakapoenda chuoni
Chuo ni mwendo wa kujaribu na kutoa mimba

Wanatupia hadi kwenyr dustbin
 
Mleta mada hujielewi baba na mama wanajeshi wanaishi kwenye makambi porini huko hakuna shule karibu unataka watoto wao wasome wapi? kama sio bweni

Kuna wale vipato shida kula shida pa kulala shida anaamua akope mtoto aende bweni kwenye uhakika wa chakula na malazi

Kuna wale waondoka usiku Wana hoteli nk au kazi huamka usiku kwenda kazini na kurudi usiku unatakaje?

Hiyo hoja Kenya ndio walianzisha upinzani waliopata kutoka Kwa wazazi Tena wakiwemo watu wenye pesa sio mdogo zoezi limeshindikana Kenya

Wazazi hawataki
Mleta mada Lea mwanao aende day atongozwe na bodaboda bajaji na Makonda kisa anabana kahela unampa utajijua

Kila mzazi ahangaike na mwanae tusipangiane

hajasema watoto wote wakae day, amesema ikiwezekana so kama kuna sababu za msingi na ww mzaz unaona ni bora boarding basi mpeleke, yeye ameshauri kwa mtazamo wake.

Ila mm pia boarding kwa mtoto hapana, mm nmesoma boarding na zipendi kabisa boarding nilitamani kurudi day ila haikua option ya mzazi kabsaaa ikabd nikomae ivyo ivyo, mwanangu ataenda boarding akifika advance na ni kama atataka mwenyewe siwezi kumforce.[emoji1481]
 
Huu mjadala ni mzito. Mleta uzi uko sahihi kwa kiasi fulani ila sio lazima mtoto akienda bweni ndo awe na tabia mbaya. Bweni ya kuanzia mtoto wa miaka 14 naona haina madhara kwasababu mtoto ni ngumu kuacha malezi aliyopata kabla ya umri huo. Tatizo kuna wazazi wapumbavu hupeleka bweni hata mtoto wa shule ya msingi. Mtoto ana miaka 8 eti yuko bweni? wazazi mmelogwa?
 
Back
Top Bottom