Ewe mzazi kama kuna shule za day huna haja ya kumpeleka mtoto boarding, Boarding imekuwa hatari sana kwa watoto kwa hali ya sasa

Ewe mzazi kama kuna shule za day huna haja ya kumpeleka mtoto boarding, Boarding imekuwa hatari sana kwa watoto kwa hali ya sasa

Iwe bwen au day kikubwa mnunulie mwanao kuna kifaa kinaitwa childcotrolmind hiki kifaa mtoto wako akiwa nacho hata akae na wavuta bang au mashoga hawez asilika kivyovyote na hawez iga tabia yoyote
 
IMG_2363.png

Huu ni shule ya kata
 
Boarding,uhakika wa mtoto kumaliza shule ni mkubwa kuliko day,mitaani hatari kuliko bording,siyo boarding zote mbaya, ila uraiani kibaya kote
 
Shida ya puli ni unalegeza mishipa ya uume . Angetafuta mdoli
Midoli sio poa, The beauty of masterbation you screw any woman you wish.

Even you Unique, i can screw you during my puli session.

Huwa inachukua muda gani kulegeza mishipa? Ni miaka zaidi ya 30 naona niko fiti tu.
 
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali tufahamishe eneo lenye changamoto ka ufuatiliaji zaidi.^OK
NYINYI WOTE NI WAKIMBIZI INA MAANA HAMJUI KAMA KUNA TATIZO LA UMEME HOVYO KABISA.
WOTE MRUDI KWENU BURUNDI
 
Kuna ukweli lakini wazazi wengi wako busy na maisha hawana muda wa kuwa karibu na Watoto wao wanaona bora waende Shule za Boarding.
 
Watoto wasasa hawapati malezi ya wazazi kabisa.

Wapo hao wanaopelekwa boarding kwanzia wadogo na baada ya masomo ya sekondari wanakwenda Chuo. Huyu mtoto lazima kuna vitu vya kijamii, kitabia na kitamaduni mtabishana tu Kwasababu havikupandikizwa kichwani mwake. (Hapa ndipo wengi huibuka na kusema vijana wasasa hawaambiliki)

Ukiachana nahao kuna hawa wazazi pia ambao wanatafuta wadada wa kuwalelea watoto. Ukimuangalia mtu mwenyewe anaekwenda kulea mtoto bado anahitaji malezi.

Suala la uangalizi wa mtoto linahitaji ufatiliaji wa karibu kwenye ukuaji, mienendo, afya, tabia, lugha namengine mengi ambayo huyu muangalizi wala hayajui wala hana muda wa kuyafatilia.

Suala la malezi ya watoto kwanyakati hizi linaendeshwa hovyohovyo ndomana vijana wa sasa ni wahovyohovyo pia.
 
Haya bwana
Kulegea misuli nahisi ni pro za wauza madawa ili wapige hela..

Kwanza kuna misuli gani ya kulegea kwenye uume? Kule kuna mshipa wa damu unaojaza ile spongylike muscle ile iwe ngumu.

Misuli ya kulegea inakaaga upande gani?
 
Binafis naona hapa muafaka Hakuna, Kila mtu na apite njia yake anaiona itamfikisha huko anakoenda.
 
Back
Top Bottom