Ewe mzazi kama kuna shule za day huna haja ya kumpeleka mtoto boarding, Boarding imekuwa hatari sana kwa watoto kwa hali ya sasa

Michezo michafu inafanyika boarding
 
Sasa umeona athari za kukaa huko bwenini? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtoa mada alicho kisema?
 
Yaani boarding nilipiga chini kitambo.
 
Michezo michafu inafanyika boarding
Michezo michafu ipo hata mtaani... mimi hapa baba yangu ilibidi kila siku awe anaamka asubuhi na kuongozana na mdogo wangu wa kiume hadi shuleni kwasababu alikuwa hafiki shule na kuishia kwenye makundi ya kishenzi. Yule dogo alimaliza form four na kufaulu div III. Kwahiyo hakuna uafadhali. Muhimu ni mzazi kupambania kizazi chako. Usijidanganye akiwa boarding au day yuko salama.
 
Mtoto hata umfukie kwenye shimo peke yake lazima tu atajua tu kupiga punyeto
 
Kwan chuo huwa wanaenda na umri gani? Mbona wanaacha malezi waliyopewa na wazazi au walezi, na kuanza yao mapyaa.
 
Kweli kabisa
Mi niligoma mtt wa bro hakwenda boarding na ss kaingia kidato Cha 4
 
Kwan chuo huwa wanaenda na umri gani? Mbona wanaacha malezi waliyopewa na wazazi au walezi, na kuanza yao mapyaa.
Sio wote wanaoacha malezi ya wazazi. Halafu haya mambo yanahitaji sana neema za Mungu. Mimi nimekuwa na watoto wa wachungaji ila ukubwani wale rafiki zangu ni kama walidata... yaani pombe na ngono waliziparamia kwelikweli. Saa nyingine pia huwa ninafurahia malezi ya kutobanwa sana... mambo mengi niliyaona mapema na kuyaona hayana maana.
 
Mbona ka ugomvi wakat katoa ushaur tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…