Ewe Nape ukitaka kuvutia matumizi ya Simu janja weka Internet iwe bure siyo kuongeza kodi

Ewe Nape ukitaka kuvutia matumizi ya Simu janja weka Internet iwe bure siyo kuongeza kodi

Duc in altum

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
1,781
Reaction score
3,591
Nape huko vijijini vocha wanaweka mara moja kwa mwezi na wengine wanasubiri kupigiwa na ndugu zao wa mjini, nina uhakika hata kwenye jimbo lako wapo wengi wao.

Usiongeze kodi kwenye vitochi hiyo smart ni kama kitochi bila Internet, kama kusudio ni kila mtu awe kwenye dunia ya kidijitali weka Internet bure au kwa gharama nafuu.

TTCL wapo nawasilisha ila najua plan ni kuongeza watumiaji wa smart ili muwakate kodi zenu za ovyo kila wakiweka vocha nyie maccm kwenye hila hamjambo.
 
Dunia nzima hakuna internet ya bure. Nchi tu yenyewe kuna gharama wanalipia kupata hizo services. Now kuhusu kitocho ni kweli ame approach vibaya, ni bora angeshusha bei ya smart phones iwe affordable kwa mwananchi wa kawaida
 
Sijui shida iko wapi! Ila kusema ule ukweli viongozi wengi waliomo ndani ya serikali ya ccm wana low thinking capacity.
 
Dunia nzima hakuna internet ya bure. Nchi tu yenyewe kuna gharama wanalipia kupata hizo services. Now kuhusu kitocho ni kweli ame approach vibaya, ni bora angeshusha bei ya smart phones iwe affordable kwa mwananchi wa kawaida
Hiyo dunia nzima unaongea based on fact au mihemuko yako(personal opinions)!?
Mimi naamini inawezekana internet kuwa bure
 
Sijui shida iko wapi! Ila kusema ule ukweli viongozi wengi waliomo ndani ya serikali ya ccm wana low thinking capacity.
Kichwani kwao kimejaa dili nape mafanikio yake toka aingie ukimuuliza ni kupeleka internet mlima Kilimanjaro poor nape wakati hata mimi nikipewa fiber napeleka
 
Back
Top Bottom