Ewe Raia mwema wa Tanzania usidanganyike, tii Sheria bila shuruti, zingatia wito na uamuzi wa Mahakama na Wananchi kwa hekima na busara

Ewe Raia mwema wa Tanzania usidanganyike, tii Sheria bila shuruti, zingatia wito na uamuzi wa Mahakama na Wananchi kwa hekima na busara

Ni uzalendo wa maana sana kuitikia wito wa dola, kutii maelekezo, ilani au amri za vyombo vya ulinzi na usalama bila ukaidi, ubishi wala kiburi kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi..

Jitahidi sana uwe Raia mwema siku zote, muungwana, mzalendo, mtiifu kwa sheria na katiba ya nchi, na kutoa ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama ikihitajika, kamwe usikubali kuchochewa, kudanyanywa au kuhamasishwa na viongozi wa kisiasa wenye viburi na jeuri kwa dola, na wenye dhamira ya kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wengine.

Usikubali kufundishwa ukaidi, jeuri na kiburi kwa Dola. daima, kumbuka akili za kuambiwa, ni vizuri ukanchanganya na zako.

Daima jitenge dhidi ya ukaidi kwa dola, kwasababu utaumia na utapata tabu sana ukiwa mwenyewe pekeyako na utalazimishwa kutii na kuheshimu katiba kwa shuruti na nguvu inayoweza kukusababishia madhara kimwili au kiakili.

kutii Sheria bila shuruti ndio mpango mzima wa amani na salama yako..๐Ÿ’

Mungu Ibariki Tanzania
"Mbwa wewe" by Samia
 
Ni uzalendo wa maana sana kuitikia wito wa dola, kutii maelekezo, ilani au amri za vyombo vya ulinzi na usalama bila ukaidi, ubishi wala kiburi kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi..

Jitahidi sana uwe Raia mwema siku zote, muungwana, mzalendo, mtiifu kwa sheria na katiba ya nchi, na kutoa ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama ikihitajika, kamwe usikubali kuchochewa, kudanyanywa au kuhamasishwa na viongozi wa kisiasa wenye viburi na jeuri kwa dola, na wenye dhamira ya kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wengine.

Usikubali kufundishwa ukaidi, jeuri na kiburi kwa Dola. daima, kumbuka akili za kuambiwa, ni vizuri ukanchanganya na zako.

Daima jitenge dhidi ya ukaidi kwa dola, kwasababu utaumia na utapata tabu sana ukiwa mwenyewe pekeyako na utalazimishwa kutii na kuheshimu katiba kwa shuruti na nguvu inayoweza kukusababishia madhara kimwili au kiakili.

kutii Sheria bila shuruti ndio mpango mzima wa amani na salama yako..๐Ÿ’

Mungu Ibariki Tanzania
Kama ni hivyo kwa nini tulipigania Uhuru? Tungewaacha Uingereza watawale tungekuwa kama Hong Kong au Singapore hii leo
 
Kama ni hivyo kwa nini tulipigania Uhuru? Tungewaacha Uingereza watawale tungekuwa kama Hong Kong au Singapore hii leo
Tulipa uhuru kwasabb tulikua na mawazo mapya, fikra na mipango mbadala zenye nguvu, dhidi ya mipango serikali dhaifu sana ya kikoloni ๐Ÿ’

hatukua tunalalamika tu kama ilivyo sasa bila kua na alternative plans, hii ni useless gentleman...
 
Mjinga wewe, mmefanya nini tangu tupate Uhuru? Zaidi tulichopata ni Ukimwi na ebola
relax na upunguze makasiriko tu gentleman,

tuna alternative plans za kuepuka kupata ukimwi na ebola , ni muhimu sana kuzingatia hizo ๐Ÿ’
 
Huko ntakuja
Pombe zipo lkn

Ova
ni muhimu kuzingatia faragha na saa za ibada ikiwa unapendelea mambo hayo, hayafanyiki wazi wazi tu bila heshima ๐Ÿ’
 
relax na upunguze makasiriko tu gentleman,

tuna alternative plans za kuepuka kupata ukimwi na ebola , ni muhimu sana kuzingatia hizo ๐Ÿ’
Kata tamaa babuu, nyie mtaungua moto, lazima, unajua mmeumiza watu wangapi? Mamilioni. ukimwi, njaa, ebola etc etc etc. Sasa hivi watu wako kwenye AI sisi bado tunakunya porini hata kujenga choo hatuwezi.
 
Kata tamaa babuu, nyie mtaungua moto, lazima, unajua mmeumiza watu wangapi? Mamilioni. ukimwi, njaa, ebola etc etc etc. Sasa hivi watu wako kwenye AI sisi bado tunakunya porini hata kujenga choo hatuwezi.
mazingira ya nchi yetu kiuchumi kijamii na kisiasa yanawezesha kila mTanzania kua na uwezo wa kujenga choo chake mwenyewe, acha kunya porini sawa gentleman? acha uvivu chimba choo....

hayo mengine ya hisia na kutafuta huruma ni useless ๐Ÿ’
 
mazingira ya nchi yetu kiuchumi kijamii na kisiasa yanawezesha kila mTanzania kua na uwezo wa kujenga choo chake mwenyewe, acha kunya porini sawa gentleman? acha uvivu chimba choo....

hayo mengine ya hisia na kutafuta huruma ni useless ๐Ÿ’

Macroeconomy & Sovereign Data​

Type of GovernmentPresidential republic
CapitalDar es Salaam (administrative capital), Dodoma (legislative capital)
Sovereign RatingsS&P: Not rated
Moodyโ€™s: B1
Fitch: B+
Total Population65.2 million
Median Age17.2
Adult Per Capita Income (PPP)6,081.86
Total GDP (2023)79.6 billion
 
ni muhimu kuzingatia faragha na saa za ibada ikiwa unapendelea mambo hayo, hayafanyiki wazi wazi tu bila heshima ๐Ÿ’
Sawa sawa naona napewa neno hapa ๐Ÿ˜„ ila sogea basi hapa
Nkupe maua yako

Ova
 
Tii Sheria bila shuruti, wakikwambia twende kwenye mahojiano halafu wanakazia usiogope mafupi tu ujue ndio burian
 
maelezo yako, maoni na mtazamo wako baadhi uko sahihi na baadhi yafaa ufadanuzi zaid ila siyo mabaya kiujumla...

unajua ikifikia mahali wanasiasa au hawa wanaoitwa wapinzani wakabadilika na wakaja na mawazo mapya na fikra mbdala dhidi ya yanayo lalamikiwa tunaweza kupiga hatua kubwa mbele na kwa haraka sana....

hii ya kiongozi kulalamika kwa hisia na tuhuma za kusadikika na mwananchi kuchochewa ili aone huruma haiwezi kuleta mabadiliko kijamii, kisiasa au kiuchumi ๐Ÿ’
Nani anayeamua kwamba sasa wapinzani wamebadilika? Nchi hii ni ya wote, isipokuwa tu kwamba wakati fulani watu wa chama X walianza na hata baadhi ya hao tunaowaita wapinzani walikuwa huko huko. Hivyo, hakuna kundi la watu wanaoweza kujimilikisha nchi kwamba ni yao, na hawa wengine wapo tu kuleta upinzani. Hivyo, kubadilika ni kwa wote.
 
Nani anayeamua kwamba sasa wapinzani wamebadilika? Nchi hii ni ya wote, isipokuwa tu kwamba wakati fulani watu wa chama X walianza na hata baadhi ya hao tunaowaita wapinzani walikuwa huko huko. Hivyo, hakuna kundi la watu wanaoweza kujimilikisha nchi kwamba ni yao, na hawa wengine wapo tu kuleta upinzani. Hivyo, kubadilika ni kwa wote.
muamuzi wa kubadili chochote nchini ni mwananchi mwenyewe ๐Ÿ’

hata hivyo itategemea na yeye kuvutiwa na mawazo mapya, sera nzuri za kuleta mabadiliko kwake, mipango mikakati, na fikra mbadala za kubadili maisha yake dhidi ya mipango mikakati inayoathiri maisha na mustakabali wa maisha ya mwananchi....

na sio kulalamika kwa uhodari sana, au kutia huruma na huzuni sana, au kuwa hodari wa kuhisi kutuhumu wengine kwa mambo ya uzushi...

au eti uniseme mimi vibaya ili wewe upendwe na kuonekana wa maana,
gentleman , hiyo haitoshi kuleta wala kuchochea mageuzi au mabadiliko popote ๐Ÿ’

mabadiliko huchochewa na mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya zinaonekana dhaifu ๐Ÿ’

humu nchini yuko wap basi, hata huyo mwenye afadhalli tu kidogo ya hizo fikra mbadala na mawazo mapya?

utacheka ๐Ÿคฃ
 
Tii Sheria bila shuruti, wakikwambia twende kwenye mahojiano halafu wanakazia usiogope mafupi tu ujue ndio burian
ni muhimu kua muungwana mwenye ushirikiano nao, omba utambulisho wao, wanatoka wapi nawe unahitaji wapi kwasabb gani, ukiwa unatoa ushirikiano huo omba kuwasiliana na ndugu na jamaa zako kuwaarifu unakopelekwa ili hatimae waje kufahamu kulikoni, utakapopelekwa, simple tu ๐Ÿ’

sasa wewe jazwa jeuri na kiburi na wanasiasa na wanaharakti uchwara kukaidi wito wa kiusalama...
utapata tabu sana ๐Ÿ’
 
ni muhimu kua muungwana mwenye ushirikiano nao, omba utambulisho wao, wanatoka wapi nawe unahitaji wapi kwasabb gani, ukiwa unatoa ushirikiano huo omba kuwasiliana na ndugu na jamaa zako kuwaarifu unakopelekwa ili hatimae waje kufahamu kulikoni, utakapopelekwa, simple tu ๐Ÿ’

sasa wewe jazwa jeuri na kiburi na wanasiasa na wanaharakti uchwara kukaidi wito wa kiusalama...
utapata tabu sana ๐Ÿ’
Wewe umekuja Tanzania leo?
 
Ni uzalendo wa maana sana kuitikia wito wa dola, kutii maelekezo, ilani au amri za vyombo vya ulinzi na usalama bila ukaidi, ubishi wala kiburi kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi..

Jitahidi sana uwe Raia mwema siku zote, muungwana, mzalendo, mtiifu kwa sheria na katiba ya nchi, na kutoa ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama ikihitajika, kamwe usikubali kuchochewa, kudanyanywa au kuhamasishwa na viongozi wa kisiasa wenye viburi na jeuri kwa dola, na wenye dhamira ya kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wengine.

Usikubali kufundishwa ukaidi, jeuri na kiburi kwa Dola. daima, kumbuka akili za kuambiwa, ni vizuri ukanchanganya na zako.

Daima jitenge dhidi ya ukaidi kwa dola, kwasababu utaumia na utapata tabu sana ukiwa mwenyewe pekeyako na utalazimishwa kutii na kuheshimu katiba kwa shuruti na nguvu inayoweza kukusababishia madhara kimwili au kiakili.

kutii Sheria bila shuruti ndio mpango mzima wa amani na salama yako..๐Ÿ’

Mungu Ibariki Tanzania
Je, kwa hapa Tanzania Kuna Kutii Sheria bila Shuruti au Kuna KUTII SHURUTI BILA SHERIA?????
 
Back
Top Bottom