Ewe unayetaka ndoa, ukitaka maisha ya stress na mshikemshike oa huku

Mleta mada ulitumia sample size gani kufanya utafiti wako kwa wanawake wa makabila uliotaja na kudraw hiyo conclusion yako?

Stop generalizing.
 
Mleta mada ulitumia sample size gani kufanya utafiti wako kwa wanawake wa makabila uliotaja na kudraw hiyo conclusion yako?

Stop generalizing.
nyinyi ndo wasomi mizigo
kwa jamii zenu maana mnazoa tu kila kitu kama dodoki
 
nyinyi ndo wasomi mizigo
kwa jamii zenu maana mnazoa tu kila kitu kama dodoki
Wewe ndo mpumbavu zaidi, unakuja na kautafiti kako uchwara unataka kutulazimisha tuamini hizi pumba zako.

Watu wanaoa na watazidi kuoa Kwenye makabila unayokataza.
Wewe najua ulipigwa matukio mazito mazito na wanawake kutoka Kwenye hizo kabila ndo maana umekuja huku kuzisemea mbovu.
 
izi akili za kijinga kabisa za kuvukia barabara na kukwepa bodaboda
 
jF ina maelfu ya wachangiaji kutoka mikoa wilaya mitaa vitongoji na jamii mbalimbali ndani na nje ya nchi. ukiona unalazimika kuitetea jamii yako ujue ni muda sahihi wa kujitafakari.
Ubaya/Uzuri ni kwamba mabadiliko ya jamii siyo kitendo cha kupiga kope bali ni jitihada za pole pole zinazohitaji uwekezaji katika elimu na mabadiliko ya falsafa ya jamii pamoja na mitazamo yake. Ni kitendo cha polepole chenye kuchukua vizazi kadhaa.

Na ukiangalia vizuri kwa jinsi mambo yanavyokwenda katika ulimwengu wa sasa, pengine ni sawa tu jamii zetu zikabakia kama zilivyo hasa katika mambo ya msingi. Nisingependa kuona kijana wa Kikurya, kwa mfano, akiacha mila zake za ubabe na ungangari halafu aanze kulamba midomo na kuandika tyuu na jomoni mitandaoni humu. Tatizo mara nyingi inaweza kuwa ni sisi "wasomi" ambao tunaitazama jamii kupitia katika lenzi ya usasa ambao nao una makandokando yake kibao. Kumbe tunazidiwa na Wamasai ambao bado wanavaa rubega na kubeba sime zao; na wamegeuka kuwa ndiyo kitambulisho cha Uafrika sahihi.

Tujitafakari maana mabadiliko tunayoyataka yanaweza yakawa ndiyo-siyo!
 
Kwa kina mura - wakurya na wenzao wajaluo (uko ubabe vurugu na utemi mwingi kwa pande zote wanaume na wanawake ndo maisha ya kawaida, apa muda wowote kinawaka. kama wew hujazoea mazingira ya vurugu tafrani na mtifuano hapa hapakufai)
Mimi ni mjaluo nimekulia zaidi dar lakini kila mwaka lazima nirudi Buturi kuwajulia hali kwaiyo nazijua sifa za wajaluo na wakurya. Kwa upande wa wanawake hao hawawezi kujishusha ukiliamsha dude na yeye analiamsha hii lazima ilete shida maana kwenye ndoa mwanamke anatakiwa kuwa mnyenyekevu lakini upande wa wanaume ni wapenda haki na watu poa sana ukiishi na sisi kistaarabu ila ukituzingua ngumi mkononi. Mume abaki kwenye nafasi yake na mke abaki kwenye nafasi yake ndoa itadumu lakini kama mdada anajijua ana ujeuri au elements za kiferminist basi asijichanganye kuolewa na mjaluo au mkurya.
 
Mkuu umesahau wajita wa mara huko.Hawa nao ni wataalamu wa ulozi.
 
Mkuu jazilizia tunyama nyama kidogo kwenye hii komenti yako!
Ubaya/Uzuri ni kwamba mabadiliko ya jamii siyo kitendo cha kupiga kope bali ni jitihada za pole pole zinazohitaji uwekezaji katika elimu na mabadiliko ya falsafa ya jamii pamoja na mitazamo yake. Ni kitendo cha polepole chenye kuchukua vizazi kadhaa.

Na ukiangalia vizuri kwa jinsi mambo yanavyokwenda katika ulimwengu wa sasa, pengine ni sawa tu jamii zetu zikabakia kama zilivyo hasa katika mambo ya msingi. Nisingependa kuona kijana wa Kikurya, kwa mfano, akiacha mila zake za ubabe na ungangari halafu aanze kulamba midomo na kuandika tyuu na jomoni mitandaoni humu. Tatizo mara nyingi inaweza kuwa ni sisi "wasomi" ambao tunaitazama jamii kupitia katika lenzi ya usasa ambao nao una makandokando yake kibao. Kumbe tunazidiwa na Wamasai ambao bado wanavaa rubega na kubeba sime zao; na wamegeuka kuwa ndiyo kitambulisho cha Uafrika sahihi.

Tujitafakari maana mabadiliko tunayoyataka yanaweza yakawa ndiyo-siyo![/QUOTE]akili kubwa sana hii. kongole mkuu[emoji1666][emoji1666]
 
Wanawake wa kikurya na kijaluo si wakorofi. Ni Ma-sweetheart.
Wanaume ndiyo wakorofi, ngumi jiwe.
Hao wanaume wakorofi ni matokeo ya malezi ya kikorofi toka kwa mama zao.
So wanawake wanakwepaje cheo hiki cha ukorofi
 
ungeonja watatu watatu kwenye kila kabila uliloorodhesha hapo,,sasa wewe umeonja mmoja mmoja tu,,unakuja kuleta uzi wasiolewe, kabila moja tabia tofauti.
Vp dada kabila lako limetajwa nini?
 
Huo ukorofi kwamba anafika tu sehemu na kuanza kurusha ngumi au anachokozwa?
Wana bipolar yaani uwezo mdogo wa kufikiri shida ya afya ya akili so wapo too emotional wakiguswa hawana uwezo wa kuhimili changamoto hii utokana na asili pia effect ya uric acid itokanayo na matumizi makubwa sana ya nyama nyekundu.
Kama unataka utulivu wa akili hao wanawake sio sahihi.
Labda tu umpate aliyecivilized.
So ni kama unaishi na nyoka ndani ujui saa ngapi atakugonga.
 
Asili ina nguvu ingia kwenye ndoa ndo utaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…