EWURA imetangaza bei mpya za Mafuta, Petroli, Dizeli, Mafuta ya Taa yashuka

EWURA imetangaza bei mpya za Mafuta, Petroli, Dizeli, Mafuta ya Taa yashuka

Na mtashukuru sasa kwa jinsi raia mlivyo wehu. Watu wanawachezea akili kwa kutumia pesa za kodi zetu na matozo ya kichawi then bado tunawashangilia.


Huu upumbavu tumalizane nao 2025. 2026 tuanze ukurasa mpya na chama kipya na katiba mpya.

Enough is enough with this garbage [emoji2781].

Sent using Jamii Forums mobile app
CCM ndio Tumaini la watanzania, Hakuna wa kuitikisa Wala kuiyumbisha hapa nchini
 
Ilitakiwa yashuke zaidi, soko la dunia ni 90usd per barrel (crude 🛢) na pia hii local currency yetu tuipandikize kwa ZWK ili nasi tununue Lita moja kwa 23tshs!
 
Hongera serikali inayojali na kusikiza watu wake,
Mwezi ujao ishuke zaidi,
Well done big up
 
CCM ndio Tumaini la watanzania, Hakuna wa kuitikisa Wala kuiyumbisha hapa nchini
Ona hili bichwa jinga! Acha kuota kabla hujalala! Jifunze kujibu hoja iliyopo mezani na sio unajiongelesha peke Yako! Ccm Ina maajabu Gani zaidi ya tozo? Kalale uote yapasayo!
 
Taarifa iliyotolewa leo Jumanne, Septemba 5, 2022 na Mkurungenzi Mkuu wa Ewura, Modestus Lumato bei za mafuta zimeonekana kupungua baada ya kupanda mfululizo kwa miezi mitano kuanzia Aprili mwaka huu.

Hadi leo katika mkoa wa Dar es Salaam bei ya petroli inaonesha inauzwa kwa Sh3, 410 kwa lita, dizeli Sh3, 322 na mafuta ya taa yakiuzwa Sh3,765 kwa lita.

Lakini kuanzia kesho Jumatano petroli itauzwa kwa Sh 2, 969, dizeli Sh3, 125 na mafuta ya taa yatauzwa Sh 3,335 bei hizi ni kwa mkoa wa Dar es Salaam baada ya ruzuku ya Serikali.

Kwa mujibu wa Lumato, kushuka kwa bei za bidhaa hizo kunatokana na kupungua kwa bei za mafuta katika soko la dunia ya mwezi Julai ambayo mafuta yanayotumika kuanzia kesho yamenunuliwa mwezi huo.

Ili kuendelea kupunguza athari za ongezeko la bei ya mafuta nchini ambapo shughuli nyingi za kiuchumi zinategemea Dizeli na pia kupunguza pengo kati ya bei ya Petroli na Dizeli, Serikali imetoa ruzuku ya Tsh. Bilioni 65 kwa bei ya mafuta ya Septemba 2022.

Kuingilia kati kwa Serikali na kutoa ruzuku hiyo kumepunguza bei ya bidhaa za Petroli kwa Septemba 2022 .

Jedwali hapa chini linaonesha Bei za Mafuta kabla na baada ya Ruzuku ya Serikali

View attachment 2348019
Hakuna cha ruzuku hapo ni uhuni juu ya uhuni ndani ya Tanzania.
 
Na mtashukuru sasa kwa jinsi raia mlivyo wehu. Watu wanawachezea akili kwa kutumia pesa za kodi zetu na matozo ya kichawi then bado tunawashangilia.

Huu upumbavu tumalizane nao 2025. 2026 tuanze ukurasa mpya na chama kipya na katiba mpya.

Enough is enough with this garbage [emoji2781].

Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania tuko tayari. Punda amechoka, tatizo ni nani anayetufaa? Kwa mtazamo wangu hayupo. Ndugu zetu wakenya walimpigia Ruto kura kwa wingi sana sio kwa sababu wanampenda ila ni kwa kuwa wamechoka. Wanatafuta amani ya nafsi zao. Ndio maana ruto alionekana kama mwokozi.

Huku kwetu hata chadema hawako tayari.
 
Ona hili bichwa jinga! Acha kuota kabla hujalala! Jifunze kujibu hoja iliyopo mezani na sio unajiongelesha peke Yako! Ccm Ina maajabu Gani zaidi ya tozo? Kalale uote yapasayo!
Kwani umamlazimisha kuwa chadema? Chama kisicho na dira? CCM inachohitaji ni kiongozi mwenye kusimamia haki na mwenye kujali wananchi,otherwise ni binge LA chama kwa hapa afrika.
 
Na mtashukuru sasa kwa jinsi raia mlivyo wehu. Watu wanawachezea akili kwa kutumia pesa za kodi zetu na matozo ya kichawi then bado tunawashangilia.

Huu upumbavu tumalizane nao 2025. 2026 tuanze ukurasa mpya na chama kipya na katiba mpya.

Enough is enough with this garbage [emoji2781].

Sent using Jamii Forums mobile app

hapana hakuna suala la chama kipya.

hapa ni wananchi kukomaa mabarabarani liundwe baraza la muda kuongoza nchi ambalo litapendekezwa na wananchi na hilo baraza ndilo lisimamie katiba mpya na wananchi tudemand Chama kinachoitwa CCM kipigwe marufuku na watu fulani fulani waburuzwe mahakamani kwa kuleta madhira na umasikini kwa watu.

Siasa ziwe na mwanzo mpya wakipigwa marufuku wanasiasa woote waliokuwa kwenye nyadhifa na kwenye mfumo wa chama tawala CCM na UVCCM, Wananchi mbalimbali wapewe uwanja wajitokeze tuje tuijenge Tanzania mpya.
 
kesho naandika bango la kumshuru Mh.Rais kwa kushusha bei ya mafuta
 
Wacha tuone mikoani Bei itaakaje niwai Moro chapu kutengeneza kiriku yangu mnk niilipaki nisikilizie Bei

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
hapana hakuna suala la chama kipya.

hapa ni wananchi kukomaa mabarabarani liundwe baraza la muda kuongoza nchi ambalo litapendekezwa na wananchi na hilo baraza ndilo lisimamie katiba mpya na wananchi tudemand Chama kinachoitwa CCM kipigwe marufuku na watu fulani fulani waburuzwe mahakamani kwa kuleta madhira na umasikini kwa watu.

Siasa ziwe na mwanzo mpya wakipigwa marufuku wanasiasa woote waliokuwa kwenye nyadhifa na kwenye mfumo wa chama tawala CCM na UVCCM, Wananchi mbalimbali wapewe uwanja wajitokeze tuje tuijenge Tanzania mpya.
Ndoto za njaa hizo
 
Hakuna cha ruzuku, futa limeshuka duniani. Serikali hawataki kuamini kua mwisho wa kutuibia kupitia mafuta umefika mwisho.

Diesel hawataki ishusha maans ikishuka tuu na bei za usafiri itabidi ishuke
Ni kweli aisee upo sahihi kabisaa!! Hawa mafala wanajua wakishusha diesel na nauli zitapungua kwasababu Mabus mengi ni ya viongozi
 
Eti mwezi julai, mbona bei zikipanda leo soko la Dunia basi kesho yake tu huku mnapandisha? Mafuta bado yapo juu sana, kwa mwenendo wa bei ya soko la Dunia, yanapaswa tuuziwe kwa 2,200/= kwa litre
 
Back
Top Bottom