Hamna namna imebidi washushe ni aibu sana.Hakuna cha ruzuku, futa limeshuka duniani. Serikali hawataki kuamini kua mwisho wa kutuibia kupitia mafuta umefika mwisho.
Diesel hawataki ishusha maans ikishuka tuu na bei za usafiri itabidi ishuke
CCM ndio Tumaini la watanzania, Hakuna wa kuitikisa Wala kuiyumbisha hapa nchiniNa mtashukuru sasa kwa jinsi raia mlivyo wehu. Watu wanawachezea akili kwa kutumia pesa za kodi zetu na matozo ya kichawi then bado tunawashangilia.
Huu upumbavu tumalizane nao 2025. 2026 tuanze ukurasa mpya na chama kipya na katiba mpya.
Enough is enough with this garbage [emoji2781].
Sent using Jamii Forums mobile app
Ona hili bichwa jinga! Acha kuota kabla hujalala! Jifunze kujibu hoja iliyopo mezani na sio unajiongelesha peke Yako! Ccm Ina maajabu Gani zaidi ya tozo? Kalale uote yapasayo!CCM ndio Tumaini la watanzania, Hakuna wa kuitikisa Wala kuiyumbisha hapa nchini
Hakuna cha ruzuku hapo ni uhuni juu ya uhuni ndani ya Tanzania.Taarifa iliyotolewa leo Jumanne, Septemba 5, 2022 na Mkurungenzi Mkuu wa Ewura, Modestus Lumato bei za mafuta zimeonekana kupungua baada ya kupanda mfululizo kwa miezi mitano kuanzia Aprili mwaka huu.
Hadi leo katika mkoa wa Dar es Salaam bei ya petroli inaonesha inauzwa kwa Sh3, 410 kwa lita, dizeli Sh3, 322 na mafuta ya taa yakiuzwa Sh3,765 kwa lita.
Lakini kuanzia kesho Jumatano petroli itauzwa kwa Sh 2, 969, dizeli Sh3, 125 na mafuta ya taa yatauzwa Sh 3,335 bei hizi ni kwa mkoa wa Dar es Salaam baada ya ruzuku ya Serikali.
Kwa mujibu wa Lumato, kushuka kwa bei za bidhaa hizo kunatokana na kupungua kwa bei za mafuta katika soko la dunia ya mwezi Julai ambayo mafuta yanayotumika kuanzia kesho yamenunuliwa mwezi huo.
Ili kuendelea kupunguza athari za ongezeko la bei ya mafuta nchini ambapo shughuli nyingi za kiuchumi zinategemea Dizeli na pia kupunguza pengo kati ya bei ya Petroli na Dizeli, Serikali imetoa ruzuku ya Tsh. Bilioni 65 kwa bei ya mafuta ya Septemba 2022.
Kuingilia kati kwa Serikali na kutoa ruzuku hiyo kumepunguza bei ya bidhaa za Petroli kwa Septemba 2022 .
Jedwali hapa chini linaonesha Bei za Mafuta kabla na baada ya Ruzuku ya Serikali
View attachment 2348019
Watanzania tuko tayari. Punda amechoka, tatizo ni nani anayetufaa? Kwa mtazamo wangu hayupo. Ndugu zetu wakenya walimpigia Ruto kura kwa wingi sana sio kwa sababu wanampenda ila ni kwa kuwa wamechoka. Wanatafuta amani ya nafsi zao. Ndio maana ruto alionekana kama mwokozi.Na mtashukuru sasa kwa jinsi raia mlivyo wehu. Watu wanawachezea akili kwa kutumia pesa za kodi zetu na matozo ya kichawi then bado tunawashangilia.
Huu upumbavu tumalizane nao 2025. 2026 tuanze ukurasa mpya na chama kipya na katiba mpya.
Enough is enough with this garbage [emoji2781].
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani umamlazimisha kuwa chadema? Chama kisicho na dira? CCM inachohitaji ni kiongozi mwenye kusimamia haki na mwenye kujali wananchi,otherwise ni binge LA chama kwa hapa afrika.Ona hili bichwa jinga! Acha kuota kabla hujalala! Jifunze kujibu hoja iliyopo mezani na sio unajiongelesha peke Yako! Ccm Ina maajabu Gani zaidi ya tozo? Kalale uote yapasayo!
Na mtashukuru sasa kwa jinsi raia mlivyo wehu. Watu wanawachezea akili kwa kutumia pesa za kodi zetu na matozo ya kichawi then bado tunawashangilia.
Huu upumbavu tumalizane nao 2025. 2026 tuanze ukurasa mpya na chama kipya na katiba mpya.
Enough is enough with this garbage [emoji2781].
Sent using Jamii Forums mobile app
MmmhWacha tuone mikoani Bei itaakaje niwai Moro chapu kutengeneza kiriku yangu mnk niilipaki nisikilizie Bei
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watanzania vichwa vyenu vimejaa lawama tuuu.Hamna namna imebidi washushe ni aibu sana.
Ndoto za njaa hizohapana hakuna suala la chama kipya.
hapa ni wananchi kukomaa mabarabarani liundwe baraza la muda kuongoza nchi ambalo litapendekezwa na wananchi na hilo baraza ndilo lisimamie katiba mpya na wananchi tudemand Chama kinachoitwa CCM kipigwe marufuku na watu fulani fulani waburuzwe mahakamani kwa kuleta madhira na umasikini kwa watu.
Siasa ziwe na mwanzo mpya wakipigwa marufuku wanasiasa woote waliokuwa kwenye nyadhifa na kwenye mfumo wa chama tawala CCM na UVCCM, Wananchi mbalimbali wapewe uwanja wajitokeze tuje tuijenge Tanzania mpya.
Ni kweli aisee upo sahihi kabisaa!! Hawa mafala wanajua wakishusha diesel na nauli zitapungua kwasababu Mabus mengi ni ya viongoziHakuna cha ruzuku, futa limeshuka duniani. Serikali hawataki kuamini kua mwisho wa kutuibia kupitia mafuta umefika mwisho.
Diesel hawataki ishusha maans ikishuka tuu na bei za usafiri itabidi ishuke
Hata mimi nashangaa, tunafanywa kama watoto wadogo vile, unanyang’anywa pesa yako mwenyewe halafu unarudishiwa kama zawadi eti..Ruzuku ni kama upuuzi,kwanini serikali isisamehe ama kupunguza kodi za mafuta ?,