EWURA imetangaza bei mpya za Mafuta, Petroli, Dizeli, Mafuta ya Taa yashuka

shusha tena na nauli zishuke.
 
Soko la Dunia mafuta yameshuka sana mpaka jana yalikua 86usd kwa Barrel moja hii bei ilikua mwaka 2020 sidhani kwa kiwango ilichoshuka inawiana na bei waliyoshusha hao Ewura maana ilipanda kidogo ongezeko la mara ya mwisho ni 500 Tsh..Ewura wapo kwa ajili ya Wafanyabiashara na si walaji
 
JPM hasta siempreeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…