Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are very right, vinginevyo kilichofanyika ni ujinga mtu. Hivi Euwra anachukua fedha zote hizo za nini wakati hawezi kudhibiti chochote!Kuna tozo za Taasisi za Serikali, ambazo kimsingi hutoa huduma ambayo ni ya udhibiti, zingefutwa kabisa, kama ifuatavyo:
1) Tozo ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ya kuchakata nyaraka (Customs processing fees)
2) Tozo ya Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA)
3) Tozo kwa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC)
4) Tozo kwa ajili ya shughuli za udhibiti za EWURA
Only in Tanzania baba.[emoji1787] [emoji1787] Hii nchi vituko haviishi Tozo zimepunguzwa alafu hapo hapo Bei ya mafuta imepandishwa kwa sh. 12
Mnajifanya mna data lakini kwenye soko la dunia hamujui nini kinaendelea.Huu unafuu uko wapi?
Mimi mpaka sasa bado najiuliza ni kitu gani kilisababisha nishati ya mafuta ya diesel, super/petrol na taa kupanda kwa supersonic speed mara baada ya kifo cha Magufuli katika miezi 4 au 5 tu kwa kiasi cha wastani wa Tsh. 500/litre..?
NDIYO. Magufuli amekufa mwezi March, 2021 bei ya nishati ya petrol [reja raja] ilikuwa ni ya wastani wa Tsh. 2,000/= nchini kote...
Lakini kuanzia April - July bei ikaongezeka ghafla kwa wastani wa kati 250 - 400 na sasa huu ni mwezi oktoba ongezeko ni karibu Tsh. 650/litre nchini kote.....!
Why..????
Wewe unayeelewa kwani kuna ubaya gani ukieleza nini kinaendelea?Mnajifanya mna data lakini kwenye soko la dunia hamujui nini kinaendelea.
Tunazo alzet za kutosha na karanga eti???Bado tunaagiza mafuta ya kula?
Imagine eti tozo 8 baada ya kupunguzwa bado hakuna nafuu yoyote ya maana daaah.[emoji1787] [emoji1787] Hii nchi vituko haviishi Tozo zimepunguzwa alafu hapo hapo Bei ya mafuta imepandishwa kwa sh. 12
Mkuu nimemsikia Prof Ngowi wa Mzumbe University akihojiwa na Azam anasema kwa jumla kuna tozo 16 ambazo hufanya bei ya mafuta kuwa mara mbili ya bei yake halisi yanapoingia bandarini (ambapo bei ikiwa na CIF ni kama sh 1100 hivi). Ina maana kusingekuwa na huu utitiri wa hizi tozo pengine mafuta yangekuwa sh 1500 kwa lita kama huko Zambia na kwingineko.Kuna tozo za Taasisi za Serikali, ambazo kimsingi hutoa huduma ambayo ni ya udhibiti, zingefutwa kabisa, kama ifuatavyo:
1) Tozo ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ya kuchakata nyaraka (Customs processing fees)
2) Tozo ya Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA)
3) Tozo kwa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC)
4) Tozo kwa ajili ya shughuli za udhibiti za EWURA
Nchi ya mazuzu!!hii, hangaisha bwege!!hili uishi na bwege vizuri Unatengeneza tatizo watu wanapiga kelele, unajifanya tena kuwa umelitatua ki ujanja ujanja, tayari bwege analizika.[emoji1787] [emoji1787] Hii nchi vituko haviishi Tozo zimepunguzwa alafu hapo hapo Bei ya mafuta imepandishwa kwa sh. 12
Sio mafuta tuu ni kila kitu,fungua kiwanda utafunga kabla ya kuanza uzalishaji au utaishia kuwa mpiga deal tuu kama wahindi, kodi zinaua maendeleo Tanzania na sijui kwanini viongozi hawalioni hilo, fanya research ya biashara ya Hotel Tanzania hautaamini utakachokutana nacho kwenye kodiMkuu nimemsikia Prof Ngowi wa Mzumbe University akihojiwa na Azam anasema kwa jumla kuna tozo 16 ambazo hufanya bei ya mafuta kuwa mara mbili ya bei yake halisi yanapoingia bandarini (ambapo bei ikiwa na CIF ni kama sh 1100 hivi). Ina maana kusingekuwa na huu utitiri wa hizi tozo pengine mafuta yangekuwa sh 1500 kwa lita kama huko Zambia na kwingineko.
Nimenunua mafuta kwa shilingi 2,373 Lake Oil jana Morogoro sasa sijaelewa haya mazingaombwe yanavyofanyika, kwamba tozo zimepungua[emoji1787] [emoji1787] Hii nchi vituko haviishi Tozo zimepunguzwa alafu hapo hapo Bei ya mafuta imepandishwa kwa sh. 12