EWURA: Taarifa kwa umma kuhusu bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli kuanzia 1 Desemba 2021

...

Kama tutaendelea kukaa kimya bila kumtimua chap chap huyu mama basi tutaangamia. Dawa ni kupachimbisha tu.
Hapana mkuu, huyu (anaupiga mwingi)ndiye tuliyemtaka baada ya yule.
 
Daah!!! Tunaomba Serikali ya mama yetu msikivu, tuboreshee usafiri wa umma!!!!
Maana hali inazidi kuwa tata!!! Tunakaribia kuweka silaha chini!!!!
Mtapaki tu mtake msitake😅
 
Nawalaumu sana EWURA kwani nilitaka wapandishe mpaka Tsh 12,500/= kwa Lita ili Akili zitukae vyema Watanzania..
Heheheheh
watoto wapuuzi sana hao! Yani hawataki mama yao aguswe wanakusingizia wewe ni sukuma gang machoko kweli
 
Cement haishikiki, bidhaa za kila siku majumbani zimepanda bei sio kawaida ngoja labda matanzania yataelewa sasa ccm ipoipo tu kuwakadamiza na sio kuwafanya maisha yao yawe mepesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…