Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Kuna mambo yanaendelea katika nchi hii hatuwezi kuuona mwisho wake kwa macho ya kawaida; kutoka kifo cha rais jeuri na sasa rais mpole lkn out of touch na hali halisi ya maisha ya watu huku uraiani
However it will be, kiongozi lazima awe na akili na utashi vinvyojitegemea na kujitosheleza