EWURA: What is "Compliance Order"?

EWURA: What is "Compliance Order"?

Baba_Enock

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
7,076
Reaction score
2,457
Jana jioni nilimsikia Mkurugenzi Mkuu wa EWURA akisema kuwa wametumia kifungu cha sheria (xyz?) kutoa "Compliance order" kwa Makampuni yanayosambaza na kuuza mafuta ...

Kwa wanaofahamu sheria za "kuwepo kwa EWURA" hii "Compliance Order" ina maanisha nini katika "sakata zima" la Biashara ya Mafuta hapa Tanzania?

Nimepitia kwenye tovuti ya EWURa lakini kwenye "orders" column ya "Petroleum" ni "blank"!

http://www.ewura.com/orders.html

Nawakilisha
 
Chapter 414:EWURA ACT(Principal legislation),section 39(1),(2),(3),(4),(5),(6).
Kwenye nyekundu nadhani ndio imeeleza kuwa,ikiwekwa public ni sawa na order ya mahakama kuu.
I stand to be corrected.
 
Kwa sheria sijui kifungu kinasemaje, lakini kwa tafsiri ya Masebu jana, maana yake ni: <br />
1. Makampuni husika yawe yameendelea na biasha within 24 hrs,<br />
2.Yaache kuingilia na kuvuruga mfumo wa uuzaji mafuta<br />
3. Yatoe maelezo kwa nini yasichukuliwe hatua kwa kukiuka sheria, hasa kipengele kinachozuia wafanyabiashara kukaa na kupanga bei.<br />
Wakishindwa kukcomply, Order inapelekwa Mahakama Kuu kukazia hukumu, baada ya hapo hatua zaidi zinachukuliwa kwa amri ya mahakama, kama vile serikali kutumia miundombinu yake kuagiza na kusambaza mafuta, labda wakikata rufaa Court of Appeal.
 
Kwa sheria sijui kifungu kinasemaje, lakini kwa tafsiri ya Masebu jana, maana yake ni: &lt;br /&gt;<br />
1. Makampuni husika yawe yameendelea na biasha within 24 hrs,&lt;br /&gt;<br />
2.Yaache kuingilia na kuvuruga mfumo wa uuzaji mafuta&lt;br /&gt;<br />
3. Yatoe maelezo kwa nini yasichukuliwe hatua kwa kukiuka sheria, hasa kipengele kinachozuia wafanyabiashara kukaa na kupanga bei.&lt;br /&gt;<br />
Wakishindwa kukcomply, Order inapelekwa Mahakama Kuu kukazia hukumu, baada ya hapo hatua zaidi zinachukuliwa kwa amri ya mahakama, kama vile serikali kutumia miundombinu yake kuagiza na kusambaza mafuta, labda wakikata rufaa Court of Appeal.
<br />
<br />
_Uko sahihi, isipokuwa rufaa inapelekwa Fair Competition Tribunal
 
  • Thanks
Reactions: mja
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
_Uko sahihi, isipokuwa rufaa inapelekwa Fair Competition Tribunal
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kwa mujibu wa Masebu, rufaa inayokwenda fair competition ni ya bei ya mafuta ambayo hawakuikata, hii ya comliance order (sawa na amri ya high court, rufaa itakwenda competition kufanya nini?Inakwenda court of appeal
 
<br />
<br />
Kwa mujibu wa Masebu, rufaa inayokwenda fair competition ni ya bei ya mafuta ambayo hawakuikata, hii ya comliance order (sawa na amri ya high court, inakwenda court of appeal
Uko sawa.
 
What if kama wao wamesha-lodge complaints/case na FCT? Hii Compliance order bado ina-hold? au ni baada ya maamuzi ya FTC?

Na je? Kama swali langu la msing lilivyokuwa ni sheria ipi ya nchi inayo equate Compliance Order na High Court Decree?

Niko-worried kama hili suala likiingia kwenye Sheria inawezekana EWURA na Serikali wakashindwa!!!
 
Where the Authority is satisfied that a person has committed or is likely to commit an offence against this Act or a sector Act it may make a compliance order under this section.

What is an offence:

Section 42 ( 1) states that:
Any person who contravenes or fails to comply with a provision of this Act, commits an offence against this Act

Hatimaye kifungu cha 17 ( 1 ) na ( 2 ) kinatamka kuwa:

1) Subject to the provisions of sector legislation and licences granted under the legislation, the Authority shall carry out regular reviews of rates and charges.

Sasa kwa kushindwa kuzingatia rates zilizowekwa wauzaji wametenda kosa na ndio maana wamepewa compliance order chini ya kifungu cha 39.

Sheria:
Hakuna mahakama itakayokubali kutekeleza sheria hiyo kwa sababu zifuatazo:

1. Haki ya kusikilizwa hakuna kwenye utaratibu wote mpaka kupewa compliance order.
2. Endapo itapelekwa mahakamani itachukuliwa kama kama injunction hivyo basi amri itakayotolewa na mahakama ni zuio, sasa wanazuia nini wakati watu wanataka mafuta?????

Uzuri wa sheria za Copy and Paste
 
Unamaanisha nini kwa kusema "uzuri wa sheria za Copy and Paste"? Kwamba tumeiga za Waingereza au sijui Wahindi?

Kuchukua sheria toka say south africa(cannon law) as oppossed to common law na kuileta wholesale bila kubabadilisha some important principles. Kwenye hii inaelekea once ukipewa compliance order tayari kesi imekwisha na huna haki ya kusikilizwa. Kwenye common law haki ya kusikilizwa ni haki ya kisheria na kikatiba.

Kwenye Common law injuctive orders ni za kuzuia sasa hiyo compliance order itasaidia nini wakati sisi tunataka mafuta? Kwa mantiki hiyo hilo neno limeokotwa tu toka mahali na kupachikwa tu
 
Kuchukua sheria toka say south africa(cannon law) as oppossed to common law na kuileta wholesale bila kubabadilisha some important principles. Kwenye hii inaelekea once ukipewa compliance order tayari kesi imekwisha na huna haki ya kusikilizwa. Kwenye common law haki ya kusikilizwa ni haki ya kisheria na kikatiba.

Kwenye Common law injuctive orders ni za kuzuia sasa hiyo compliance order itasaidia nini wakati sisi tunataka mafuta? Kwa mantiki hiyo hilo neno limeokotwa tu toka mahali na kupachikwa tu

hapo patamu baba nimependa, nashauri serikali kwa msingi huo labda ingeamua tu kudhulumu/nationalization, na ndiyo maana wenzetu wale wa dr masaburi wamekuja na wazo la kuingiza majeshi
 
Guys,
Energy is the game of giants! Sijui kama tunalitambua hilo...kufanya mambo arrogantly au forceful will cost us alot more than doing with dilligency and by putting national interest ahead. Naona kama tunataka kuvuruga mfumo uliopo ili tulete ukiritimba kwa kuitumia tpdc au kuanzisha vikampuni vyetu uchwara vingi....hivi TIOT ilIKUFAJE TENA??
 
Guys,
Energy is the game of giants! Sijui kama tunalitambua hilo...kufanya mambo arrogantly au forceful will cost us alot more than doing with dilligency and by putting national interest ahead. Naona kama tunataka kuvuruga mfumo uliopo ili tulete ukiritimba kwa kuitumia tpdc au kuanzisha vikampuni vyetu uchwara vingi....hivi TIOT ilIKUFAJE TENA??
Nitajie nchi yoyote duniani ambay hai-regulate bei ya mafuta.Nchi nyingi sana zina mashirika ya ku-import mafuta.
Mwezi iliopita,dealer's margin ilikuwa 59shs/litre.......leo ni 57.5/litres. shilingi 1.5 ndio ifanye wasuse?
 
Back
Top Bottom