Elfu kumi na tano uliyoandika itakuwa bei imeshuka au imepanda? Sikuelewi.Mama akiweza fikia 15000 hapa ataweza saidia sana bidhaa kushuka ingawa soko la TZ always price inaongezeka
Wanaopandisha mafuta ni Tanzania au soko la kimataifa????Mnayashusha sasa kwasababu ya uchaguzi uchaguzi ukiisha yanapanda Tena
Kuna bei za OPEC halafu kuna bei za TPA. Huwezi kuelewa kama huna D mbili😁Wanaopandisha mafuta ni Tanzania au soko la kimataifa????
Tz vs opec!!!
Kwamba ni sababu ya uchaguziNeema za uchaguzi.. Ila maumivu makubwa yanakuja
Vita ya Ukraine ikiisha najua mafuta yatashuka bei kama maji,vile vikwazo ya uchumi vikifunguliwa tutapata faida kubwa hasa Kwa nchi za AfricaKuna bei za OPEC halafu kuna bei za TPA. Huwezi kuelewa kama huna D mbili😁
Hapo naanza kuhisi BRICS ina manufaa flani upande wa Nishati.
15000 lita ngapi?Mama akiweza fikia 15000 hapa ataweza saidia sana bidhaa kushuka ingawa soko la TZ always price inaongezeka
Mkuu @LATRA mtushushie nauli za mabasi Asee mafuta yameshukaKUMB: PPR/2024-11/01
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA BIDHAA ZA MAFUTA YA PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 6 NOVEMBA 2024PIA SOMA
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano ya tarehe 6 Novemba 2024 saa 6:01 usiku. Kwa mwezi Novemba 2024, bei za rejareja na za jumla katika Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama zinavyoonekana katika Jedwali Na. 1 na 2, mtawalia Jedwali 1: Bei Kikomo za Rejareja (Shilingi Lita)
View attachment 3144763
View attachment 3144764
View attachment 3144765
View attachment 3144766
View attachment 3144768
View attachment 3144769
- EWURA yatangaza Bei Kikomo za Mafuta kwa Mwezi Agosti, yamepanda tena
Typo error 1500,asanteElfu kumi na tano uliyoandika itakuwa bei imeshuka au imepanda? Sikuelewi.
Hapo huwezi wasikiaMkuu @LATRA mtushushie nauli za mabasi Asee mafuta yameshuka