EWURA yatangaza bei Kikomo za mafuta ya petroli zitakazotumika kuanzia Novemba 6, 2024, saa 6:01 usiku

EWURA yatangaza bei Kikomo za mafuta ya petroli zitakazotumika kuanzia Novemba 6, 2024, saa 6:01 usiku

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
KUMB: PPR/2024-11/01
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA BIDHAA ZA MAFUTA YA PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 6 NOVEMBA 2024
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano ya tarehe 6 Novemba 2024 saa 6:01 usiku. Kwa mwezi Novemba 2024, bei za rejareja na za jumla katika Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama zinavyoonekana katika Jedwali Na. 1 na 2, mtawalia Jedwali 1: Bei Kikomo za Rejareja (Shilingi Lita)

1730860955313.png

1730861034739.png

1730861092599.png

1730861149323.png

1730861348841.png

1730861397067.png
PIA SOMA
- EWURA yatangaza Bei Kikomo za Mafuta kwa Mwezi Agosti, yamepanda tena
 
KUMB: PPR/2024-11/01
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA BIDHAA ZA MAFUTA YA PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 6 NOVEMBA 2024
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano ya tarehe 6 Novemba 2024 saa 6:01 usiku. Kwa mwezi Novemba 2024, bei za rejareja na za jumla katika Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama zinavyoonekana katika Jedwali Na. 1 na 2, mtawalia Jedwali 1: Bei Kikomo za Rejareja (Shilingi Lita)

View attachment 3144763
View attachment 3144764
View attachment 3144765
View attachment 3144766
View attachment 3144768
View attachment 3144769
PIA SOMA
- EWURA yatangaza Bei Kikomo za Mafuta kwa Mwezi Agosti, yamepanda tena
Mkuu @LATRA mtushushie nauli za mabasi Asee mafuta yameshuka
 
Bei zikipanda haraka sana wadau hupandisha bei za bidhaa au huduma zao mfano nauli. Ila bei za mafuta zikishuka wadau walewale wanakuwa kimyaaaaaa...
 
Tukiachana na ubathirifu na ufisadi dizel na petrol inaweza kuuzwa 2,000/= kwa lita na kwa faida kabisa na kwa kufanya hivyo itasaidia kushusha gharama za usafirishaji na kuinua uchumi wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom