Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Kwani unakisima cha mafuta ndugu🤔Safi sana ikifika 5000 kwa lita itapendeza zaidi
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unakisima cha mafuta ndugu🤔Safi sana ikifika 5000 kwa lita itapendeza zaidi
Ova
Dollar Ndo sababu ya msingi sana inayofanya mafuta yapande?Upatikanaji wa dollar nao ni changamoto
Huu nao sio utapeli wa ccm? Ni lazima bei zipande kila mwezi? Mwisho wake ni wapi?!!Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo ya mafuta zilizoanza kutumika leo Aprili 3, 2024 ambapo kuna ongezeko la bei ya nishati za Petroli na Dizeli huku Mafuta ya Taa bei ikibaki kama ilivyokuwa Machi 2024.
Upande wa Dar es Salaam bei ya Petroli ni Tsh 3,257 ikiwa ni ongezeko la Tsh 94, Dizeli ni Tsh. 3,210 kuna ongezeko la Tsh. 84, Mafuta ya Taa bei ni Tsh. 2,840 sawa na ilivyokuwa mwezi uliopita.
Baadhi ya sababu zilizotajwa na EWURA kuchangia mabadiliko hayo ni kuongezeka kwa bei za mafuta yaliyosafishwa (FOB) katika soko la Dunia kwa wastani wa 3.94% kwa Petroli na wastani wa 2.34% kwa mafuta ya Dizeli, kuongezeka kwa kiwango cha kubadilishia fedha za kigeni kwa 3.19% kutokana na ongezeko la matumizi ya EURO kulipia mafuta yaliyoagizwa.

Upatikanaji wa dollar ni changamoto kwako au kwangu BOT wametoa usd za kutosha mwezi uliopita kwenye Bank kadhaa ili kuleta mzunguko kama mwanzo..Upatikanaji wa dollar nao ni changamoto
Ona kituDaah Ewura kila tangazo lao limeegemea kwa Wafanyabiashara tu kazi ipo yakishuka yanashuka mia moja yakipanda ni zaidi ya ilichoshuka...waliwahi pandisha Tsh 500 baadae wakashusha Tsh 75 huku soko la Dunia bei ikiwa imeshuka sana..
Mafuta hata ikifika lita 10000 wabongo furesh tu mbona,kwani wamelalamika mbona muda wote tunawaona na kuwasikia wakishukuru na kutoa asante kwa mamaKwani unakisima cha mafuta ndugu🤔
Ewura wana kiwango cha bei wanataka ifike hii mambo wanayoenda nayo haipo soko la Dunia mafuta yakishuka huko huku wanatangaza shilingi 30 ila kupanda huwa inapanda mamia na cents zake hao jamaa wapo kwa ajili ya watu wachache ambao ndio wanahusika na hii biashara ya mafuta juzi nimeshangaa nimeenda kituo kimoja mashine zao zote huwa zinakua busy ila siku tatu nyuma wakawa wanatumia mashine moja leo asubuhi baada ya kupanda hiyo bei waliyoambiwa itapanda mashine zote zipo na wafanyakazi na mafuta yanauzwa tena..Ona kitu
Mafuta hata ikifika lita 10000 wabongo furesh tu mbona,kwani wamelalamika mbona muda wote tunawaona na kuwasikia wakishukuru na kutoa asante kwa mama
Ova