EWURA yatangaza bei mpya za mafuta ya Julai, 2022. Petroli, Dizeli zapanda

EWURA yatangaza bei mpya za mafuta ya Julai, 2022. Petroli, Dizeli zapanda

Hiyo hela walio kopa ni bora wangeijengea hata barabara huko vijijini sasa ndo utopolo gani umefanyika hapo ama ndo pesa zimeshagawanwa na masela maana sijaona hata upungufu ni usanii tu ...hili li nchi sanaaa aliiweza Jpm tu.
Hamna Kiongozi pale.. ni hewa kabisa, mtupuuuu .

Ukimuuliza Bilion 100 zimefanya nini?? Sasa mwezi wa nane ,wanatangaza Tena mpya..mwezi wa kumi, kumi na mbili, mwakani yaan Kila baada ya miezi miwili EWURA haoooo!!

Hamna kitu, tumepigwa Sanaa, kwenye nyakati kama hizi za Crisis Huwa UNAHITAJIKA KUA NA RAIS MWENYE AKILI, MBUNIFU, MISIMAMO, MWENYE UTHUBUTU NA KUJIAMIN ,MZALENDO .!!

SASA KAMA WAFANYABIASHARA WANDANI SAHIZI BEI WANAJIPANGIA WANAVYOTAKA, NCHI IMEKOSWA BEI ELEKEZI ,,,, ATAWAWEZA HAWA MABWANYENYE!????

Tukisema Magufuli Alikua Mwamba, muwe mnatuelewa !!.
 
Bei mpya za petrol na diesel zimetoka. Kama kawaida bei imepanda. Mfano Dar petrol ni 3,150 na Diesel ni 3,143. Sio mbaya maanake mishahara pia imepanda! Nchi imefunguka tulambe asali.
Screenshot_20220705-220452.png
 
Mbona kama naona 3,220 kwa 3,143.

Kwahiyo, wanaposema kabla ya ruzuku, wanamaanisha kila mwezi itakuwa inatoka 100b ku-ruzuku bei ya mafuta?

Watuambie mwenendo wa bei ya hayo mafuta huko wanakonunua ili tujue kama kweli kuna ruzuku na sio ULAMBAJI WA ASALI.

Uwezo wa nchi kutunza mafuta ni kiasi gani, ambayo yanaweza kutumika kwa muda?

Ina maana tunaagiza wese kila mwezi?
 
Karibu tulambe asali mkuu Glenn 😂
Mkuu sina connection kwa mama.
Wasukuma wangu wametupwa nje wanalia na kusaga meno nami nilikuwa naponea migongoni mwao🤣🤣🤣
Hakuna sababu ya kufosi mambo mzee, ukiona kipato hakiendani na matumizi ya gari unalitumia mara moja moja tu.
Kabisa
 
Back
Top Bottom