RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
- Thread starter
- #21
Ni juu kulingana na kipato maanake nchi kama USA ni bei nafuu kuliko Sisi na wananchi wana kipato kikubwa.Tanzania ni moja ya nchi ambayo bei ya gasoline ipo average, si juu sana na wala si chini sana...kawaida huwa tunacheza 1USD per liter