Boss wa EWURA Ndo mr. wa spika,Aibu sana, Ewura sasa iko mifukoni mwa wajanja wachache
Akina Mwashambwa mko wengi kumbeAfadhali Makamba hayupo maana zingeshuka nyuzi humu ,mtu wa watu hana kosa.
Hahahah chombo lazma kitembee hakuna kupaki π€£duh! mwaka wetu huu.. π₯΄π₯΄π₯΄
hizi bei zinakukuta una V12 Bi-Turbo S650.. π π πAibu naona mimi
Pia kuna maokoto kama mabilioni hivi ya kuwapa polisi kwa ajili ya uchaguzi π€£Wanafanya maokoto kuelekea uchaguzi mwakani wa serikali za mitaa
π π π kutumia dala dala kwa afyaa aisee haku kwepekiHahahah chombo lazma kitembee hakuna kupaki π€£
Hahahah unataka upige mkuki mzee, we vimba na chombo bana acha hizo.π€£π€£π€£π π π kutumia dala dala kwa afyaa aisee haku kwepeki
Mwendokasi waongeze route Mwendokasi mabasi yaongezwe ππ π π kutumia dala dala kwa afyaa aisee haku kwepeki
π π π kutumia daladala sunaaHahahah unataka upige mkuki mzee, we vimba na chombo bana acha hizo.π€£π€£π€£
π π π π hili ndio muhimu zaidi.. tunata usafiri wa ummaMwendokasi waongeze route Mwendokasi mabasi yaongezwe π
Hii sasa hivi hadi obey wataomba wapewe route ya mwendokasiπ π π π hili ndio muhimu zaidi.. tunata usafiri wa umma
tutaweka mafuta siku za matukio maalumu tu.. maana gari inatumika kama suport document π π πHii sasa hivi hadi obey wataomba wapewe route ya mwendokasi
Afadhali Makamba hayupo maana zingeshuka nyuzi humu ,mtu wa watu hana kosa.
Ewura wanatusaidia wananchi kuiondoa haraka CCM madarakani.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kupanda kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia