kumbe nyinyi ndo mnajiandaa kuwa first year mwaka huu,ndo maana mnacomment ovyo kwa sababu hamjui mlitendalo,kwanza matokeo yenu wamefanya standardization la sivyo mngeenda kuuza mitumba,ila mshukuru TCU wamewapeleka vyuo vya kata mtasurvive kidogo,lakini UDSM utakuwa unaisikia hewani hewani