Ex-4m6's tuache nyodo safari ndio kwanza inaanza


Sio kosa lako ni kwamba hujajielewa na unachojibu
 
Asee uyu oil sumu angepata main campus angetuuwa kwa masifa...university of dar-es-salaam kipo dar,muce kipo dar sehem gani...???

Akiulizwa unasoma wapi atasema "nipo mliman iringa"..maana anawezekana akaenekana chz..afadhal ya mimi tumeshare mageti sio yeye alieko iringa
 
Last edited by a moderator:
Sio kosa lako ni kwamba hujajielewa na unachojibu

Kama umeweza kutambua kuwa kuna kutojitambua na kutojielewa ni hatua nzuri pia though in an opposite direction. UKIKUA UTAACHA..
 

kwan yy n nan
 
Kama umeweza kutambua kuwa kuna kutojitambua na kutojielewa ni hatua nzuri pia though in an opposite direction. UKIKUA UTAACHA..

Duu hii kitu imekaa kipumba-,pumba hivi!!! Em broo katowe tongotongo uje na initiative posts sio unatuletea aproaches zisizo na mantiki
 

Both CL, DS101 and 102 sijui kama kuna survivor humu! Brother just get outta here, hili jukwaa lilikua one of my favorite lounge, ila tangu vijana wa tcu wavamie nimehama kwa muda!!
 
Duu hii kitu imekaa kipumba-,pumba hivi!!! Em broo katowe tongotongo uje na initiative posts sio unatuletea aproaches zisizo na mantiki

Hawa ndio wale waliokuwa wanaenda OP swali zima kwenye essay
 
Akiulizwa unasoma wapi atasema "nipo mliman iringa"..maana anawezekana akaenekana chz..afadhal ya mimi tumeshare mageti sio yeye alieko iringa

Teteteeh "mliman iringa" apo oil sumu kawa poyoyo inabidi abadilishe hata hilo jina ajiite calorite
 
Last edited by a moderator:
Hongera naona unaanza ku show changes

Nafurahi kuona sasa unaandika vizuri, nikuombe na pale post ya kwanza ui hariri na kuandika "matunda" badala ya "ma2nda" Ikíwezekana muombe Invisible akurekebishie heading isomeke "Ex-form sixs"
 
Last edited by a moderator:
Duu hii kitu imekaa kipumba-,pumba hivi!!! Em broo katowe tongotongo uje na initiative posts sio unatuletea aproaches zisizo na mantiki

Kweli kama unataka "initiative posts" na umeona "aproaches" lazima uione imekaa kipumba pumba kama ulivyosema. Nakuomba utafute kamusi kisha rejea hayo maneno kwenye quotation marks urekebishe then uje hapa twende sawa.
 
Nafurahi kuona sasa unaandika vizuri, nikuombe na pale post ya kwanza ui hariri na kuandika "matunda" badala ya "ma2nda" Ikíwezekana muombe Invisible akurekebishie heading isomeke "Ex-form sixs"

Heheh nilijua tu wewe hujielewi hapo nimeandika vizuri sasa?
 
Last edited by a moderator:
Both CL, DS101 and 102 sijui kama kuna survivor humu! Brother just get outta here, hili jukwaa lilikua one of my favorite lounge, ila tangu vijana wa tcu wavamie nimehama kwa muda!!

I can't quit and let these half cooked so called students spoil one of the best forums here. And as far as it is an educational forum, we are gonna educate them either way. Once a teacher always a teacher.Naamini watabadilika tu for good.
 
Kweli kama unataka "initiative posts" na umeona "aproaches" lazima uione imekaa kipumba pumba kama ulivyosema. Nakuomba utafute kamusi kisha rejea hayo maneno kwenye quotation marks urekebishe then uje hapa twende sawa.

Hapa tumeingiliwa na msomi tapeli...initiative=a new way of dealing with a problem...approach=to make an attemp at solving a problem or making policy....tatizo wasomi wetu wa bongo mnacram sana ata uwe na phd lakin kama wewe ni wa kukariri ata mtoto wa prinary atakutoa knok-out
 
Hata popo huwa anajiona mjanja akidhani anamnyea Mungu kumbe anajinyea mwenyewe. Watch out son.

You have to watch out too baba,coz grown people have to behave and think wisely
 

Good, thank you for taking time to consult a dictionary, now go back to your post and see what you wrote ealier, pia nashukuru kuwa umetambua kuwa ni "approach" na sio "aproach" kama ulivyokuwa umeandika wewe. Now a step further, hapo kwenye "prinary" na "knok-out" pitia tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…