Curious21
Member
- Aug 15, 2013
- 33
- 3
- Thread starter
- #41
Mbona na wewe umeanza kwa nyodo..!?? "ex-4m6s, ma2nda" ndio vitu gani !? Tutakutofautishaje wewe unaeingia chuo kikuu na wale laki mbili na elfu sitini failures wa Mulugo kama uandishi wenu ni wa aina moja!? don't tell me you're going to the versity with that childish mentality... you can't be serious kido..!
Sio kosa lako ni kwamba hujajielewa na unachojibu