EX ananiomba pesa. Ushauri wenu please

Tulikuwa na ukaribu zamani ukasa ila anataka urudi Kwa Kasi

Ila Mimi na familia yake ni family friends haiwezi pita siku sijapigiwa simu na aither dada ake, mdogo wake au brother wake lazima
Ohooooooo!

Wacha mie nishike jembe nikalime

Mapenzi si ya kuingilia 🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️

Cc Smart911
 
Wanawake ni waongo sana mkuu usiamini anayosema
 
Msaidie tu ni hisani kama hisani zingine tu kuna leo na kesho
 
Naomba tuwasiliane inbox
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…