EX ananiomba pesa. Ushauri wenu please

Namhurumia mume wa huyo Binti.
Bora mtu uoe uliyemtoa Bikra, vinginevyo unaona mke wa Mtu, Sasa we jamaa mke wa Mtu anakuja na ndege na unamdinya?
 
Kosa kubwa unalolifanya ni kuendelea kuwasiliana nae,

Umesema alikuacha halafu bado unawasiliana nae!!

Kubali tu kua una ka udhaifu fulani hivi,

Hata kitendo cha kuja kuomba ushauri hapa JF eti umtumie hela x wako au usimtumie,inathibitisha kua una udhaifu fulani hivi,

Achana na hiyo Mbuzi angalia maisha yako,piga block namba yake,nina uhakika huko alipo anakudharau sana kwa kuwasiliana nae,anakuona ni kama tairi la spea tu.
 
Bora mtu uoe uliyemtoa Bikra, vinginevyo unaona mke wa Mtu, Sasa we jamaa mke wa Mtu anakuja na ndege na unamdinya?
Mkuu ungekuwa ww usingemdinya🤔??
Suala la kumuoa bado sijalifikiria lakini yeye yupo tayari kwa hilo!!
 
Mpe pesa kama unayo hujui anapitia nini
 
sasa mkuu sasahivi kuna nyimbo gani za kutaka utengeshe redio? wanaimba matusi na maudhui ya ngono tena ngono ya kinyume na maumbile
sio zote kwani kama hii unaweza kusema ni wimbo mmbaya..?

Your browser is not able to play this audio.
 
Sipokeagi simu yake Kwa mda anaopiga Hadi nijisikie Kuna mda nilimbock kabisa alilamika mno Kwa mabrother kuwa Nina kinyongo nikaona sio case ngoja ni unblock
 
Wajeda siwapendi sifa za kijinga wanazo
Jamaa alikuwa anampa hela balaa.... Kipindi hatujaachana aliwahi kuunganisha namba yangu na akaunti yake ya benk(sim banking)... Aiseee nilikuwa naona miamala ya jamaa inavyoingia tu, karoho kakaanza kuniuma nikamwambia badilisha hiyo namb haraka😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…