Ex-gf wangu kanitia hasara tuu...!!

Ex-gf wangu kanitia hasara tuu...!!

Ndio. Hata ungekua wewe ungelifanya hivo hivo..... Acha kujifanya much know.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Yalishawahi kunikuta hayo,,bora yako Mkuu ulikuwa unamahusiano Mengine,.

Me mwenzako nilikuwa single almost Kama miezi 2 cjaiona tundu coz niliumizwa Sana kiac kwanza nikawa nimepoteza hisia.

Sasa hormones zilipoanza kufanya kazi yake, zilifanya kazi Kweli Kweli kiac kwamba genye zilipanda Kwa kazi zaid ya serikali ya anko Magu.

Nikaona isiwe tabu Kuna ex wangu flan alikuwa ananisumbua Sana cku za nyuma akitaka turudiane nikawa namkatalia coz nilikuwa na mahusiano Mengine.

Nikamcall nikamwambia tuonane akakubali nikafanya yoote uliyoyafanya but nikaingia nae room na mzigo nikanyimwa coz alikuwa haniamini Kama nimerudi mazima kwake. Alihisi nataka kupasha kiporo then nisepe. Niliumia Sana mpaka Leo Sina Jami nae.
 
ULichokosesa engineer hapo ni kimoja, kumpeleka UDSM kula kuku. Ungempeleka PATAYA kulekule, then unamuomba uzuru Binamu yake, '' samahani nina mazungumzo na nduguyo kidogo'' then unampandisha ROOM.Hapo tatizo lilikuwa nini? Inawezekana hata huyo BInamu yake alikuwa anajua kuwa anamleta ndugu yake kuliwa. Wewe ukaleta ubwege.
Next time, usirudie kosa mwana.
 
Yan uo ndo muda napnaga wakaka wa ajabu m2 akikupgia cm tu bas we unawaza mgegedo muache uzuz
 
Niaje Wazeiyaaaaaaaaaaaah....

EBANA SAWA:
Mnamkumbuka yule dogo ex-gf wangu (nilowaambiaga kuwa kila napomkumbuka lazima stimu zinipande nanyakua mto najilipua..... Yule niloanza kumgonga tangu yupo form two nikaja kumpiga chini kimazabe)

SASA BANA:
Juzi ucku mtu mzima nimejiachia ghetto, mara cm NGRRRRRRRRRR......
Kucheki hivi namba ya dogo... Nikahamaki "dogo amemiss mkurungu wangu nini... Huyu kama amekuja mjini lazima nimtusue, nimbanjue, nimkaze, nimle".

Kupokea cm dogo anarembua:
Dogo: "Nipo mbezi tangi bovu, tumekuja kula sikukuu"
CHief: "Ahaa..poa karibuni, unaondoka lini"
Dogo: "Tarehe mbili, unapatikana vipi, nikuone"
Chief: "Kesho njoo tukutane mawasiliano"
Dogo: "Poa, lakin iwe mapema maana Shangazi hapa anatoka kazini saa kumi na moja"

EBANAEEEEE:
Usiku huo huo nikaenda pharmacy kuchukua soksi, tayari kwa kupasha kiporo (cjui kitakua kimechacha kubabake).
Asubuhi mapema Engineer nikatoroka kwa ofisi, huyooo mpaka Ubungo Riverside kwenda kuandaa uwanja wa mechi (pale nyuma ya Riverside Social Hall kuna lodge inaitwa "PATAYA") fasta 25,000 mkononi nikapewa daftari la wageni (wassenge wamepandisha mwezi wa kumi nilikuja bei ilikua 20,000).

Hata cjamaliza kujaza details zangu dogo huyooo kapanda hewani:
"Nipo mawasiliano upande wa magari ya tegeta"
Fasta nikadondoka pale kufika hivi Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Dogo kumbe hajaachaga tu ushamba wake!!! Si amekuja pamoja na dada yake, cjui binamu yake yule..!!! Mwili ukalegea, Dushe langu lililokua lishadinda likalala...

Nikachange gear angani, nikawapeleka UDSM pale UDBS nikawapiga makuku choma machipsi na ma vyoda mfululizo labda binamu mtu angelegea na kutuacha pale... lakini waaaapi!!!
Nyama zenyewe wamenusa nusa tuu wameziacha kubabake wangejua loss niloingia plus 25000 yangu kule "PATAYA"

Mwanaume wakati akili inazunguka "What to do now??"
Mara wananiaga "Sie tunaondoka Engineer" (hawajui kama nishakua Chief)
"Mbona mapema hivi jamani" eti "Tunamuwahi shangazi asije kurudi home sie hatupo"

DAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAH:
1. Kazini nimetoroka
2. Muda nilopoteza
3. 25k yangu PATAYA ileeeeeee imeyeyuka
4. Misosi waliyonusa nusa na kuiacha pale UDBS
5. Nauli za wao kuja na kurudi Tangi bovu.

Kwa kweli huyu Ex-gf kanitia hasara, yaani sijui ni ushamba ama alidhamiria.....

Halafu inaonekana dizaini kama hana mtu stable wa kumtunza maana nimemcheki usoni amechakaa chakaa ana vi upele upele amekua mweusi.... Tisa kumi, nguo alizokuja nazo ni zileeeee za mwezi wa pili wakati namgegeda mara ya mwisho.....

Yaani nilikuaga nawaza labda kuna siku tutarudiana lakin kwa situation hii, Hamna tuu...
Na haya ma soksi ngoja nikayatupe demu wangu mpya asije akayaona bureeeeeeee ikawa kashesheeee!!!!

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
kwani shule mnafungua lini maana hiyo hela ulochanga ndo inaisha usije pewa hela ya ada ukala na yenyewe nakushauri mdogo wangu anza kufanya home work ukienda shule uwe fit
 
Dah..yaani hata hesabu ndogo tu inakushinda... 1+ 2 = +3...halafu unajiita injinia😎😎
 
Ilishawahi kunitokea hii nilikutana na x-gf mlimani city nikampakia kwenye gari hadi pale mtanzania sinza kwenye bar. Baada ya stori mbili tatu nikaenda hotelini kuchukuwa room ya 35k kuja kumuomba tuhamie juu akakataa kata kata nikaona isiwe shida ikabidi nimrihusu aondoke then nikabadili gia kwa muhudumu wa hotel. Walah mambo niliyopata kwa muhudumu siwezi kusahau. Kazi yangu ilikuwa kutegesha mashine tu nje ndani na miuno yote alikuwa anapiga yeye
 
Alafu unge force king tu una mtext oya nataka mambo inakuwaje
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] alishindwa kujiongeza mapema,alitakiwa amtext palepale "oya mbona umekuja na wenzako tena na Mm nataka mzigoo,wapange wenzako tuchomokee chaap [emoji23]"lzm kingeeleweka
 
ULichokosesa engineer hapo ni kimoja, kumpeleka UDSM kula kuku. Ungempeleka PATAYA kulekule, then unamuomba uzuru Binamu yake, '' samahani nina mazungumzo na nduguyo kidogo'' then unampandisha ROOM.Hapo tatizo lilikuwa nini? Inawezekana hata huyo BInamu yake alikuwa anajua kuwa anamleta ndugu yake kuliwa. Wewe ukaleta ubwege.
Next time, usirudie kosa mwana.
Mbona anakuwa Kama sio engineer bhana,suala dogo tuu anashindwa
 
Ningekua sijakua nisingeenda kununua condom, nisingelipia Lodge.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Na hapo ndipoo ulipoonyesha hujakuwa...kwenda kulipia lodge kabla ya kuonana na muhusika, kila wakati unawaza ngono, kakuweza sana na anakujua ndo mana amebeba mtu, sidhani kama anajisikia kufanya na wewe alitaka tu kukuona kukunywea kidogo, n.k.
 
pole sana mkuu ila hata mi nishamfanyia mtu hivyo alichukia sema nilienda mwenyewe sema nikagoma kuingia ndani nataka kukaa nje ha hahaha nakumbuka jamaa aliomba akawa mpole hadi machozi yanamlenga lenga mi nimekaza napiga maji tu huwezi amini aliondoka bila kuaga nakuniachia bili nikamuita muhudumu wa lodge tukashauriana tufanyaje akasema anarudisha nusu ya bei itaingia kwenye vinywaji ... ila ameshafariki yule kaka alale kwa amani

Ngoja niunganishe dots, ndugu yangu huyu bila shaka
 
Back
Top Bottom