Ex-gf wangu kanitia hasara tuu...!!

Ex-gf wangu kanitia hasara tuu...!!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] alishindwa kujiongeza mapema,alitakiwa amtext palepale "oya mbona umekuja na wenzako tena na Mm nataka mzigoo,wapange wenzako tuchomokee chaap [emoji23]"lzm kingeeleweka


Niliogopa kuonekana mie ndio nina nyege saaana.... Nilitaka yeye amwambie ndugu yake ajiongeze....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Ulimtoa extra cash ama free of charge..... Mi nawaogopaga wahudumu nahisi wanataka pesa ndefu sana....
Halafu mie huwa nawahi kurusha wazungu, nisije kuaibika bureeee.. ikaw kashesheeee!!!

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]

Nilimtoa na 10000 tu mzee ambapo bila shaka x ningempa zaidi kama angenipa mchezo. Kuhusu hilo la wana ukawa kuwahi kutoka ndio safi maana mhudumu hakujui humjui so hamna aibu wala nini
 
Mbona anakuwa Kama sio engineer bhana,suala dogo tuu anashindwa


Mkuu mie nilitaraji madem wangejiongeza wenyewe.... Nisije kuonekana nina maganzi saaana.....
Kuku zangu wamenusanusa, soda wamekunywa, nauli nimewapa... Papuchi cjaonja.... 25k imepotea.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Na hapo ndipoo ulipoonyesha hujakuwa...kwenda kulipia lodge kabla ya kuonana na muhusika, kila wakati unawaza ngono, kakuweza sana na anakujua ndo mana amebeba mtu, sidhani kama anajisikia kufanya na wewe alitaka tu kukuona kukunywea kidogo, n.k.


Acha kunifanya mie mshamba... Nilikua na uhakika kabisa 100% naenda kupasha kiporo.....
Lile li binamu lake cjui lilikua linataka nini sasa... Kuku zangu limekula, soda limekunywa, kuondoka haliondoki..
Kubabake walay.....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Mimi case yangu iko tofauti yani kama Mara mbili wanaingia ndani ila wanagoma kutoa utam kwa sababu hewa .. nakua nmekua hasara sana ila sasa hivi nmeamua kabla ya kuingia lodge tunaandikishiana ...nna hasira sana
 
mkuu ila mnakuwaga mafala mkiwa mnaomba mbunye , ha hahaha nacheka sababu huwa mnaongeaga kama mate yamejaa mdomoni ha ahahaha


Tunakuaga mafala??????
We unadhani bia, misosi, room zinapatikana bure... Hela imetumika.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Mimi case yangu iko tofauti yani kama Mara mbili wanaingia ndani ila wanagoma kutoa utam kwa sababu hewa .. nakua nmekua hasara sana ila sasa hivi nmeamua kabla ya kuingia lodge tunaandikishiana ...nna hasira sana
ha hahaha ile moment ya kuomba utamu mnachekeshaga mnakuwa wapole kweli
 
Ila bhana hii inamtokea kila mtu,Mm ilishawahi nitokea,nimetoka zangu porin nimetulia mahali napiga zangu castle lite mixer mzizi(campari),Nina ukame WA Kama two months,wakati huo tayari nimeshampanga dem wangu WA siku zote kuwa Leo naingia town jipange kwa mechi,huku na Huku nikiwa kwenye matumizi nikakutana na demu mmoja hivi tukabadilishana no,kilichotokea sasa nikaanza kuchart na alienipa no wakati huo dem wangu ameniambia chukua chumba kbs,nikatoka kwenda kulipia chumba Kama 25k,ukicheki muda ni saa nne kasoro,huyu demu mpya akawa Kama amenielewaelewa na Mm ikabid nikaze Kamba ili Kama vp nipite nae halafu Yule WA siku zote nnaweza nikamwambia nina udhuru najua angenielewa then nikajipie kitu n'gada,Aisee kilichotokea ss demu wangu ananitext njoo unichukue mbona unachelewaa,ikanibid nichukue gari nimfuate nikiwa njiani nikasema ngoja nimpigie huyu demu mpya kama vp kesho tutafutane,Matokeo si nikachanganya no badala huyu gashi tuliyobadilishana no nampigia demu wangu,maneno nnayozungumza babu Aibu,si ujaua tena na pombe juu,kilichonistua demu ananiuliza ww unaongea na nan then akakata sim,ikabidi nitoe sim sikioni niangalie na naongea nae duuuh!,nilichofanyA nilipaki gari pembeni nampigia sim Kwan anapokea,zaidi ya kunitumia sms "kalale na huyo uliyekuwa unaongea nae baasi"mwanaume nafanya nin saa tano kasoro,nikaona isiwe shida nampigia aliyeniponza hapokei sim utafikiri wanafahamiana labda wameambizana,nna nshapiga mzizi (campari) WA kutosha,kudadeki siku iliyofuata sikuamka ngiri ya hatari



Khakhakhakhaa.... Heheheeeeee.... Ni kashesheeeee!!!
Kwahiyo mkuu ullifanikiwa kumpata yule demu mpya?? Na huyu wa siku zote case uli solve vipii mkuu.....
tafadhali share namie ma experience tujifunze maisha na hawa viumbe...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Nikipotea ujue hayaja nipata ya kunipata... Lazima nirudi....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Nimefurahi kuona huyu ex wako anapata akili, huu ni mwanzo, next time wala hatakupigia simu na utashangaa kusikia anaolewa. Hii amekuonyesha kuwa kwake yeye you are done.
 
Nimefurahi kuona huyu ex wako anapata akili, huu ni mwanzo, next time wala hatakupigia simu na utashangaa kusikia anaolewa. Hii amekuonyesha kuwa kwake yeye you are done.


Am done wapi.... Sasa kwanini amekuja kuniona kama I am done kwake.....
Dogo bado ana mahisia namie.... Sema sjui alimaanisha kuonana ni kuja kutazaman sura zetu tuu....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Am done wapi.... Sasa kwanini amekuja kuniona kama I am done kwake.....
Dogo bado ana mahisia namie.... Sema sjui alimaanisha kuonana ni kuja kutazaman sura zetu tuu....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Stay there, jiulize kwanini amekuja na cousin wake, waliongea nini?
 
Back
Top Bottom