Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

It depend mmeachana kwa sababu gani

He is my husband...and having 3 kids with him[emoji38]
Sioni tukiachana..his love for me is un explainable

Angerud ningekataa ingekula kwangu...sijqkutana na wa kunipenda km yeye...wengi matapeli na watumiaji
I feel you mama

Enjoy!
 
Safi mkuu
 
Kapeace mambo sweetheart?

Natumai uko powa kabisa, kama mimi.

Umepata wasaa kutupa kisa chako? Coz I’m dying for it!
 
Mimi aliniacha kwa sababu zake za kutaka sana ndoa na mimi siko tayari, iliniuma sana kusikia naachwa, nikakausha, nikasubiri kidogo mda ukaenda kama 3months hivi, nikamrudia kwa machozi na damu, akakubali....dadeq hakuna kitu kibaya kama kumrudia ex, she doesn't taste the same anymore, nikabwagaaaaa...nae akalia kidogo!
 
Nimefuta Kila kitu. Nadeal na ingizo jipya Tu.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Alikuwa akiileta mwenyewe, kwa madai toka tuachane hajakutana na zile kubum kubam.. Nami sina hiyana, sijui kujivunga, nikawa naitwanga tu.
 
Doh

Somo hili
 
Sijaelewa yaani uliachana na mumeo mliezaa nae watoto 3 kisha mkarudiana tena?
Tuliachana wkt tuna date...
tena ni sababu tu za uchonganishi.....lkn sikuwah ona upendo wake ukipungua since then.na hakuwah kuacha kunipenda..
Akafight kurudi nikakubali
...hakupoteza muda akatangaza ndoa[emoji3059]...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…