Mimi aliniacha kwa sababu zake za kutaka sana ndoa na mimi siko tayari, iliniuma sana kusikia naachwa, nikakausha, nikasubiri kidogo mda ukaenda kama 3months hivi, nikamrudia kwa machozi na damu, akakubali....dadeq hakuna kitu kibaya kama kumrudia ex, she doesn't taste the same anymore, nikabwagaaaaa...nae akalia kidogo!