Mtasimulia sanaKuna mwanamke nilikua nampelekea Moto kitambo, ghafla akadai anaolewa, akaomba mchango,, harusi kuubwa. Leo hii napata WhatsApp message kaachika, Jimbo lipo wazi. wacha tu_pop champagne [emoji898]
ukiona hivi ujue bado unampendaKuna mwanamke nilikua nampelekea Moto kitambo, ghafla akadai anaolewa, akaomba mchango,, harusi kuubwa. Leo hii napata WhatsApp message kaachika, Jimbo lipo wazi. wacha tu_pop champagne ๐พ
Kwa muda huu ambao anajipanga atakurudia kwa muda na kukuacha tena akipata mpenzi wa moyo wake na sio wewe boya.Kuna mwanamke nilikuwa nampelekea Moto kitambo, ghafla akadai anaolewa, akaomba mchango, harusi kuubwa. Leo hii napata WhatsApp message kaachika, Jimbo lipo wazi Kwa mara ya Tatu, ndani ya miaka miwili. wacha tu_pop champagne ๐พ