dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Azuma itasaidia nn?Nakazia, na Azuma & PeP baada ya mechi
beba kibunda cha Azuma ukienda Dom
Ganda la mua la jana.....Kuna mwanamke nilikuwa nampelekea Moto kitambo, ghafla akadai anaolewa, akaomba mchango, harusi kuubwa. Leo hii napata WhatsApp message kaachika, Jimbo lipo wazi Kwa mara ya Tatu, ndani ya miaka miwili. wacha tu_pop champagne πΎ
ule usaha usaha kwenye dyudyu baada ya kulowekaAzuma itasaidia nn?
Mkuu kapicha japo kidogo ππKuna mwanamke nilikuwa nampelekea Moto kitambo, ghafla akadai anaolewa, akaomba mchango, harusi kuubwa. Leo hii napata WhatsApp message kaachika, Jimbo lipo wazi Kwa mara ya Tatu, ndani ya miaka miwili. wacha tu_pop champagne πΎ