#COVID19 Ex-Vice President wa Pfizer, Profesa Mike Yeadon: Chanjo za COVID- 19 si salama

Hata panadol kuna watu si salama kwao...upotoshaji umezidi
We are talking of something very deadly,sio Panadol,acheni ujinga.Panadol inaweza kubadili DNA yako!Panadol ukila matunda na mboga tu si sumu yake inaondoka.Hii inabadili Genome yako na it can kill you instantly,na sumu yake ni permanent,inabaki na wewe maisha yako yote.Na mind you ukishachanjwa life span yako haizidi 3 yrs.Jamani hii kitu ni mbaya,yaani clips nilizoweka hazikustui,kweli sikio la kufa halisikii dawa.
 
hiyo ndio dhuluma kubwa kabisa inayofanywa ulimwenguni kote, kumfanya mtu mnyonge kwa sababu ya ajira.tutachanjwa kwakua tutakuwa tumeporwa uhuru wetu wakujiamulia. Ila kwa ridhaa yetu wengi tusinge chanjwa.
 
Watz wa ajabu sana. Hatujaweza kutengeneza panadol yetu tunaongelea mambo ya DNA, cjui genome .... nyambaff kabisa.

Saivi kila mtu ashinde mechi zake. Anaetaka KUCHANJWA na aende kuchanjwa na asietaka Aaachwe, hii nchi guru hakuna haja ya kulazimishana bandugu.
 
hiyo ndio dhuluma kubwa kabisa inayofanywa ulimwenguni kote, kumfanya mtu mnyonge kwa sababu ya ajira.tutachanjwa kwakua tutakuwa tumeporwa uhuru wetu wakujiamulia. Ila kwa ridhaa yetu wengi tusinge chanjwa.
Nakuonya mapema mkuu,ni bora ukakosa ajira,kuliko kuishi maisha ya mateso,tena mafupi yasiyozidi miaka mitatu.Waliochanjwa sasa wanajuta kuzaliwa.

Ona watu wanavyoteseka,na hakuna msaada!Usiombe.👇


You will be very stupid to fall into this👇 group,please say no to the C-19 so called vaccine.

👩‍👩‍👦‍👦👇👩‍👩‍👦‍👦👇👩‍👩‍👦‍👦👇​

Tens of Thousands of COVID-19 “Vaccine” Injured in the U.S. Begging for Help as the Medical Community Turns Their Back on Them.​

Private group on Facebook “Covid19 Vaccine Victims & Families” group.​

48,635 members as of July 21.21
3 min video – injured people identify the vaxx company and their US location.
What will you do if presented with medical bills after treating adverse covid vaxx effects that can range up to $1 million? There’s no way most people can pay these outrageous bills Tens of Thousands of COVID-19 “Vaccine” Injured in the U.S. Begging for Help as the Medical Community Turns Their Back on Them

Note: check with your insurance provider to see if you will be covered for any after injection adverse effects ..
Coup-vid injured facing $million medical bills.
Founder Robert Kennedy Jr. of Children’s Health Defense – The Defender – reports on 2 June 2021 about a 38-year-old woman, who nearly died after a J&J covid-vaccine. She suffered various organ failures. The woman was healthy until she received the J&J untested covid “vaccine”. Within a week, she started experiencing headaches, abdominal pain and nausea and was eventually diagnosed with severe blood clots that caused most of her vital organs to fail. Only intense medical treatment, 33 days of hospitalization, of which 22 days of intensive care, saved her life – and left her with a medical bill of over a US$ 1 million – for which nobody admits responsibility. See here. Source Covid: Threats, Vaccine Injuries and Deaths Abound | Dissident Voice
High school senior Emma Burkeyreceived the one-shot Johnson & Johnson (J&J) COVID vaccine April 1. Within two weeks she was placed in an induced coma. She underwent three brain surgeries after experiencing seizures and developing blood clots in her brain.
When Burkey was well enough to be transferred from the hospital to a rehabilitation center, her first round of bills totaled $513,000.
Hundreds Injured by COVID Vaccines Turn to GoFundMe for Help With Expenses
Injured by a COVID Vaccine? Want Financial Compensation? Too Bad, Says Injury Compensation Law Firm
This entry was posted in Uncategorized. Bookmark the
 
Yote uliyo andika ni ya mtu asiyejitambua,pole sana.
 
Umeandika upumbavu tu umetummwa na gwajima


USSR
Bahati mbaya uzi huu utadumu milele humu.
Kwa sababu akili za wenye hii forum ni sawa na akili za waliouanzisha huu ugonjwa. Nyuzi zote ambazo ni against chanjo na corona zinafutwa. Yaani kukataa chanjo inaonekana ni ujinga au kuwa Magufuli ndo ametupa hizo akili Mawazo ya kukubali chanjo yanachochewa pia na Mainstream media, ni ujinga Kuamini kila kitu kutoka kwenye TV, lengo la Tv ni kuandika programu kwenye ubongo wetu na wamefanikiwa sana kwa kuwa dunia nzima wanavaa barakoa na kupokea chanjo.
Watu tusiokuwa na sehemu ya kusemea hili janga tukiandika humu tunapigwa ban.
Binadamu tunatetea agenda inayotupeleka kwenye kuunda dunia ya Kidikteta.Tukiamka tutakuwa tumeisha chelewa
 
Marekani walitoa msaada wa chanjo kwa SA, ilipofika na kuanza kuitumia, wakaona madhara wakaisusa. USA wakaona isiwe shida, peleka Tanzania. Kumbuka hii chanjo ilitengenezwa kukabili virus wa awamu ya kwanza, sasa tupo na wa awamu ya 3, Delta force? Lakini tunapigiwa muziki kuaminishwa ni bora kwa mambo yote. Ama kweli siku ya kiama, baada ya shetani kuingia motoni, atakaefuatia ni mwana siasa.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hata hizo variants ni utapeli tu mbona?
 
Acha hizo.............................
Wapi umeasoma inabadili DNA. weka ushahidi
Wewe ni msomi kuliko mamilioni ya wataalam waliochanjwa? weka ushahidi wa ujuzi wako.
Kwahiyo baada ya miaka mitatu watu zaidi ya milioni mia mbili watakufa? Thibitisha hapa.

Acha hizo.............................
 
Yaani ninyi mapoyoyo kweli kweli.Unajua walichochanjwa?Anywat,nimefanya utafiti wa kina kuhusu C-19,ninapo ongea naongea with authority,sibahatishi na mimi mwenyewe nimebobea kwenye Virology.Kwa hapa JF nime-present sehemu ya scientific information niliyo fanyia research kwenye lugha rahisi kwa ajili ya kila mtu,na taarifa hizo zinapatikana hapa.👇.Soma with an open mind,utapata all the information you need about C-19.



 
Hii JAMIIFORUMS nilishaishtukia kitambo!!

Wamekuwa vinara wa kuchochea hofu ya CORONA na kujaza watu propaganda.

Hii forum ni ya kuitizama kwa makini sana, sio ya kawaida.
 
Hii JAMIIFORUMS nilishaishtukia kitambo!!

Wamekuwa vinara wa kuchochea hofu ya CORONA na kujaza watu propaganda.

Hii forum ni ya kuitizama kwa makini sana, sio ya kawaida.
Una haki ya kuistukia mkuu.JF CIA wame-deploy jeshi la siri,ofcourse operatives hawa wapo pia kwenye taasisi zingine za siasa,serikali,NGOs,Private companies nk.Kazi yao ni moja tu,ku-advance agendas za Marekani na NWO cabal kwa kutumia tools mbali mbali,kama kuleta hofu.Fuata link ifuatayo uone jeshi hili.




 

Life span haizidi 3 years !!!! How did you get to that conclusion, Sir ?

However, Argument zako ni valid .

Kimsingi chanjo ilitakiwa ifikie maabara na sio kwenye miili yetu.

Unfortunately Tanzania hatuna maabara za kufanya trials za vaccine ambazo ni modification genetics viruses. Ni SA na Egypty tu ndiyo wanahizo maabara.

So the long and short term effective zitakuwa studied kupitia miili yetu pamoja na post vaccination effects, and yes, some people will leave the lesson behind in the process of making

Kinachonisikitisha zaidi ni hii chanjo aina ya Jansen ambayo, wanasiasa wetu wameamua ku misslead umma huku wao wakichoma chanjo zenye afadhali kwa kuagiza aina nyingine ya chanjo pamoja na kwenda kuchomea huko nje ya nchi

Kama unaamini Rais na watendaji wake walichomwa chanjo ya Jansen....... akili kichwani mwako. I am Out
 
Rais Joe Biden wa Marekani amewaagiza viongozi wa majimbo nchini humo kuwalipa dola 100 kila mtu atakayefika kuchanjwa. Najiuliza,what is behind all these? Kwanini wanasiasa wanapigia debe hizi chanjo?
Mfano Tz chanjo zimefikia kwenye miili,nani kazifanyia hata kautafiti kidogo? Je,tuna wataalamu wa chanjo?
Kimewatokea nini viongozi wetu wa afya waliokua wanapinga chanjo mpaka kujenga mashine ya kufukiza pale Muhimbili?
Habari za uhakika ni kwamba watu zaidi ya elfu tatu wameshafariki kwa hizi chanjo.
BINAFSI SICHANJI MPAKA 2026,LABDA NIFE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…